Na akili mbovu kama hizi tutawasingizia CCM kua ndio chanzo.
Huu upuuzi tunajaribu kuupotezea lakini kumbe bado kuna MAPOPOMA yanayotaka ushindani usiokua na maana.
Mbona sie jana tumekua waungwana kwenye ujio wa kichanga cha Diamond? Tubadilike, ningependa ushindani ubakie katika kazi zao tu (Kiba vs Diamond).
Haya mambo ya maisha binafsi tuyaache tu maana ndiyo yanayojenga chuki zisizo na maana.
jamani naomba kujua ni kweli Diamond katika speech yake alianza kusema
mafanikio mojawapo ya sanaa ni mtoto wake kupata followers wengi??.
Huu upuuzi tunajaribu kuupotezea lakini kumbe bado kuna MAPOPOMA yanayotaka ushindani usiokua na maana.
Mbona sie jana tumekua waungwana kwenye ujio wa kichanga cha Diamond? Tubadilike, ningependa ushindani ubakie katika kazi zao tu (Kiba vs Diamond).
Haya mambo ya maisha binafsi tuyaache tu maana ndiyo yanayojenga chuki zisizo na maana.
Huu upuuzi tunajaribu kuupotezea lakini kumbe bado kuna MAPOPOMA yanayotaka ushindani usiokua na maana.
Mbona sie jana tumekua waungwana kwenye ujio wa kichanga cha Diamond? Tubadilike, ningependa ushindani ubakie katika kazi zao tu (Kiba vs Diamond).
Haya mambo ya maisha binafsi tuyaache tu maana ndiyo yanayojenga chuki zisizo na maana.
Sawa u gat a point but ckuwa n lengo ya kusambaza chuki n km taarifa tu
jamani naomba kujua ni kweli Diamond katika speech yake alianza kusema
mafanikio mojawapo ya sanaa ni mtoto wake kupata followers wengi??.
Umesema vema...
Hujambo..
Nasikia Lipumba baada ya kujiuzulu ameondoka nchini,ameelekea nchi gani vile?
Kwanza una uhakika mtoto ni wake?
Safi sana, wamependeza wote.Kiukweli nimechoshwa na huu upuuzi wa kujadili maisha binafsi badala ya kazi zao...
Tubadilike.
Watu wanashindwa kuongelea mstakabali wa nchi wanabaki wanabwabwaja na acc za watoto..huu ni upuuzi kuwahi kutokea katika tz hii...