Ww inaonekana una mengi uliyofanyiwa na wazanzibari..hemu weka ushahidi wa yote hayo...ww ukiwa ni victim maana inaonekana km yamekukuta kwa unavyosemq kwa uhakika
Hivi kusema kuwa sehemu fulani wanawake wananyanyaswa ni kukashifiana nyie kwa nyie!??
Unataka tukae kimya ili muendelee kunyanyasa wanawake eti!!???
Wana JF wengine ni mizigo!!!.
Kwani wee mkuu unafikiri talaka ndio mwisho wa dunia!!???, yaani aishi kama yuko utumwani kisa anaogopa talaka??
Unajiita @mtemi isike ​halafu unataka wanawake wanyanyaswe na wakae kimya tu kwa kuogopa talaka!?, hufai kuwa mtemi.
Mrs Kharusy,wewe unakataa wakati Mr Harusi anasema pale kijiweni kwamba anakusukuma mavvi!?
Lazima upinge kwani unajua ni mambo ya aibu.
Unakomaa kukataa!
Mr Harusi anakubonyeza kizenji!
Njoo na ww .....kwani hupendi raha ww? Ww unaonekana washakurarua haufai maana afadhi ya kizenji ss kibara sijui inakuaje....nadhani utakua unatembeaga na pampers mwenzetu...chukua 5 mwamba endeleza domo chafu...
Wewe muongo!Wazanzibari ni ndugu zetu damu , leo kuwadhalilisha hapa ni sawa na kujidhalilisha wenyewe, wahusika nadhani huyu mleta mada angefungiwa moja kwa moja
Wewe piga kelele tu,Acha Mzee Harusi ajifillie.
Toa burudani tuu.
Nipe namba yako ya simu nami nijifill-ie mzigo mama.
Kelele unazipiga ww ambae hujielew unaloliongea... anyway m n as stup.d as u r...endelea mkuu.
Candid Scope unajua kabisa hii makala umeitoa gazeti la Mwananchi, ni vyema ukaandika source kabisa.
Usiifanye hii makala ni yako kama baadhi ya Watu humu wanavyodhani.
Nadhani nimeeleweka.
Nakumbuka siku za nyuma Sofia Kawawa ambaye alikuwa mke wa hayati Rashid Kawawa alipokuwa maarufu kisiasa mama huyo alithubutu kuanika ukweli kwamba kuna baadhi ya taratibu za kiislamu zinamyima haki mwanamke. Yaliyompata wanaokumbuka wanajua. Lakini bora kuujadili ukweli kuliko kuufunikafunika tu.
Umenyoosha mikono?Tiririka tuhiachie.
Ukome kudakia maelezo ya wanaume.
Huna adabu!