SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Katika hali inayoonesha kuwa serikali ya Zanzibar angalau inaweza kusoma alama za nyakati, kuanzia bajeti ya mwaka huu, shughuli zote za wizara, taasisi na idara za serikali zinazohusiana na posho lazima zipate kibali maalum cha serikali. Hayo yanatokea Zanzibar wakati Bara wabunge wa CCM wameendelea kusimama kidete kupinga hoja yoyote inayohusiana na kufutwa au kupunuzwa posho mbalimbali zisizo na tija.