Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Technically speaking, at last tumeujua ukweli wa mambo wa siasa za ZANZIBAR....kumbe CUF huwa wanashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika chaguzi za Zanzibar..kura ya maoni ime-reveal hii kitu...CCM wamelazimisha kura hii coz this year wangeiba tena kura,pangechimbika mwaka huu, Wazanzibar hawakuwa tayari tena kuibiwa...wahenga walinena, daima mwanga haufunikiki, BRAVO Zanzibaris!!