Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi.
Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:-
1. Salama Jabri.
2. Fatuma Karume.
3. Maria Sarungi.
4. Kajala.
5. Dinar Marios.
6. Veronica Simulizi.
7. Mzee Halima Mdee
8. Ester Bulaya
9.
Ongezea na wewe msomaji.
Kwahiyo, wewe mwanamke unayefikiri ndoa ndiyo mkombozi wako endelea kushobokea.
Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:-
1. Salama Jabri.
2. Fatuma Karume.
3. Maria Sarungi.
4. Kajala.
5. Dinar Marios.
6. Veronica Simulizi.
7. Mzee Halima Mdee
8. Ester Bulaya
9.
Ongezea na wewe msomaji.
Kwahiyo, wewe mwanamke unayefikiri ndoa ndiyo mkombozi wako endelea kushobokea.