....Kweli kabisa!!!!!!!!!!!kiasi gani wao? pia waanzishe extreme ya kupiga tutajua nao ni wanaume wa shoka!!!
kiasi gani wao? pia waanzishe extreme ya kupiga tutajua nao ni wanaume wa shoka!!!
Taarifa zimefika punde, ZAIN wameanzisha xtreme SMS kama tiGO! Hii inaonyesha kabisa kupevuka kwa huduma za mawasiliano Tanzania. Hii mitandao nayo ni ya kujadiliwa maana..... kuna mambo kama ya kifisadi. Ni tangazo tu
Mambo ya Kelvin Twisa hayo, huyu jamaa ndo marketig manager wao kwa sasa. Jamaa alianzia Voda, Tigo wakapanda dau wakambeba, kafanya mambo kweli Tigo nyie wenyewe mmeshudia, naona Zain wakashtuka jinsi walivyodorora pamoja na kuwa na coverage kubwa wameamua kupanda dau la voda na kumbeba. jamaa anatisha kwa marketing kwenye area hiyo.
Chuma !! Watz tunapenda sms kuliko kupiga kwa sababu ya issues zetu zileeeeeee, kumbuka hata mzee wa kaya Muungwana JK kwa sms ni kiboko, I doubt kama mtandao wao utahimili capacity load. Kuna watu wamezoea keypad za simu hata huwa hawaziangalii na vidole vimepinda wakati wa kusms...Big up Zain
Acha kuongea pumba, kama huna data kaa kimya!..
Huyu jamaa hajawahi kufanya kazi Vodacom.
Ngoja nikupe historia fupi.
Jamaa alifanya kazi FCB ambayo ilikuwa advertising agency wa Vodacom, baadaye FCB ilinunulia na LOweScanad East africa (wahindi hawa jamaa) wakampiga chini kimtindo akaenda TiGO, kule kapiga kazi badaye akaiba wakamtimua, na sasa hivi siyo marketing manager wa ZEIN, marketing manager wa ZEIN ni Costantin Magavilla yeye yuko chini ya Costa.
unatakiwa tu ujue njia mojawapo ya kupata information ni kutoa wrong information ili upewe right one. Sasa kwani wewe unajua kila kitu?
Hakuna anayejua kila kitu, JF kama hujui kitu unauliza na wenye majibu watakujibu, hichi ni kijiwe cha kuelimishana na ku-entartain.
you are just another type of a ..................shiit
Acha kuongea pumba, kama huna data kaa kimya!..
Huyu jamaa hajawahi kufanya kazi Vodacom.
Ngoja nikupe historia fupi.
Jamaa alifanya kazi FCB ambayo ilikuwa advertising agency wa Vodacom, baadaye FCB ilinunulia na LOweScanad East africa (wahindi hawa jamaa) wakampiga chini kimtindo akaenda TiGO, kule kapiga kazi badaye akaiba wakamtimua, na sasa hivi siyo marketing manager wa ZEIN, marketing manager wa ZEIN ni Costantin Magavilla yeye yuko chini ya Costa.