comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,940
Ni muda mrefu sasa umepita sijamsikia jasusi mbobezi na mwanadiplomasia mahiri ndugu Benard Membe ambaye siku za awali za utawala wa JPM alijitahidi kutoa matamko mbalimbali kadri anavyojisikia. Kwenye sakata kama hili la
sukari nimjuavyo angeshatoa tamko tena zito haswa.
Lakini sasa shushushu huyu hasikiki wala kuonekana kwenye media kama hapo
awali, nini kimemsibu?
Anayejua aje atujuze alipo mbunge huyu mstaafu wa pale Mtama.
Kwann unamuita jasusi?