mwanajamii mpya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 554
- 445
Da sijawahi kuwa upande wa ney tokea aanze kudis watu,, ila kwa hili niko nae pamoja... Bongo movie washakata shanga
Mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nilipanda basi flani hivi la mtwara, waliweka bongo muvi afu sauti kubwa mpaka ikawa ngumu kuskia sauti ya mziki kwenye simu kwa earphone zangu.. Nilichofanya ni kumuita konda nkamwabia apunguze sauti ila cha ajabu akasema kuna wadau wengi siti za nyuma ndo wameomba sauti iongezwe kwa kuwa wamekaa mbali sasa nikageuka nyuma nione hao wadau(huku nikitegemea kuona wadada flani dizaini ya bekitatu)Binafsi bongo muvi huwa naziona kwenye mabasi nikisafiri tu,
Hahahaha nilitaka kusema hivyo..haki ya nani! Hii kali jamani live comedy walahiHahaha halafu tununue bongo movies wakati Tanzania ya leo filamu tosha.
Ze Comedy??Filamu haziuziki anatafuta kick mitandaoni taahira kabisa huyu.
Mimi wangeandama kina Mzee Majuto, Onyango na Ze comedy angalau wana mvuto ningeaaelewa na siyo hizi takataka za Bashite.
Jamaa anataka pambano la ngumi la round 3
Hahahahaa,, bila sheria wala raund unataka watu wang'atane ulingoni sio……!!Round 3?
Aombe waingie ulingoni kuzichapa kavu kavu, bila sheria wala rounds.
Kickboxer ipi ambayo anaiweza Huyo anayeshinda kwenye kioo kujiremba? kazi kujilengesha kwenye mitongozo tuMlela asipanic, Ney nahisi yupo sahihi kwani hiyo Mlela katoa movie ipi ikahit kama ya marehemu kanumba huyo si sawa na Ray mzee wa weupe wa maji asilete bifu maisha sio kupigana ngumi atumie akili kutengeneza soko lake sio fighting kama anaweza si aache movie aingie kickboxing
Sio lazima unachokichukia wewe kila mtu akichukieMkuu umenikumbusha wiki iliyopita nilipanda basi flani hivi la mtwara, waliweka bongo muvi afu sauti kubwa mpaka ikawa ngumu kuskia sauti ya mziki kwenye simu kwa earphone zangu.. Nilichofanya ni kumuita konda nkamwabia apunguze sauti ila cha ajabu akasema kuna wadau wengi siti za nyuma ndo wameomba sauti iongezwe kwa kuwa wamekaa mbali sasa nikageuka nyuma nione hao wadau(huku nikitegemea kuona wadada flani dizaini ya bekitatu)
Nilishangaa kuona njemba kama nne hivi zimetulia tuliii zinafatilia bongo muvi aseeh nilichoka sana