Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
kutokana na kuwepo kwenye kiti cha ubunge kupitia jimbo la Ilemela bila kuwepo na mafanikio ya kutosha, kuna tetesi kwamba wananchi wa jimbo hilo hawana mpango wowote wa kumpatia kura ndugu Dialo bali iwapo ndugu Yusuf Manji atagombea basi watampatia ushindi bila wasiwasi .
Swali: kuna yeyote anayejua lolote kuhusu hili atumwangie humu ndani ?
Pili; Mr Manji ni kweli una mpango huo? sababu wananchi wa Ilemela na Kayenze wanakuhitaji sana
asante.
Swali: kuna yeyote anayejua lolote kuhusu hili atumwangie humu ndani ?
Pili; Mr Manji ni kweli una mpango huo? sababu wananchi wa Ilemela na Kayenze wanakuhitaji sana
asante.