Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
Wanabodi kuuliza si Ujinga.
Yupo wapi yule mwanamama aliyesababisha tukakesha siku nne pale Ubungo 2010. Ninataka kujua kuwa yeye hakuitikia wito wa Makamba wa kufungua kesi? je yeye hajapewa Ubalozi mahali. Manake wenzake karibu wote walioashindwa na CDM wanakula mabata sehemu mbali mbali hapa duniani. yeye kulikoni!
Mwenye taarifa zake anijuze kwani nina mpango wa kumtafuta nimuelimishe kuwa CCM wana mapenzi kama ya Mnzinzi na kondom, akimaliza haja zake anakutupa tena bila hata kukutizama! nisaidieni alipo tumrudishe kundini labda alikuwa na material kidogo.
Yupo wapi yule mwanamama aliyesababisha tukakesha siku nne pale Ubungo 2010. Ninataka kujua kuwa yeye hakuitikia wito wa Makamba wa kufungua kesi? je yeye hajapewa Ubalozi mahali. Manake wenzake karibu wote walioashindwa na CDM wanakula mabata sehemu mbali mbali hapa duniani. yeye kulikoni!
Mwenye taarifa zake anijuze kwani nina mpango wa kumtafuta nimuelimishe kuwa CCM wana mapenzi kama ya Mnzinzi na kondom, akimaliza haja zake anakutupa tena bila hata kukutizama! nisaidieni alipo tumrudishe kundini labda alikuwa na material kidogo.