chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
ningependa kujua kuhusu hawa vijana wawili wa kiume ambao age zao zinarange kwenye 30-35yrs old, mmoja bado yupo home anaishi chini ya uangalizi wa wazazi, mwingine anajitemea anaishi peke yake, wote wanafanya kazi yenye kipato kizuri tu, na tabia zao hazitofautiani sana namaanisha ni wacha Mungu, hawatumii kilevi,wacheshi,wanajali .......n.k.
yupi kati ya hao anaweza kulea familia yake fresh atakapoamua kuoa? msaada plz!!!!!
yupi kati ya hao anaweza kulea familia yake fresh atakapoamua kuoa? msaada plz!!!!!