Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Hivi comfort hotel alivyofilisika hawakurudi tenaaa
Ila mbn ilula Hotel pale kwa wasomali mpk leo wapo au nao wamepwaya

Ova
Unajua Comfort alikuwa na mgogoro mkubwa na jamaa yake jambazi Kipagati.

Kipagati baada ya kutoka jela alitaka ile mali ya Comfort kuanzia Hotel, mabasi na taxi wagawane pasu kwa pasu kwa sababu utajiri huo ulitokana na ujambazi uliopelekea Kipagati kwenda jela.

Nyato akakataa ndipo zilianza figisu za kurogana na Comfort ikafilisika!
 
Ukonda watu wengi wamepitia
Mm mwenyewe ukonda nlipokuwa
Mbeya siku za wknd ilikuwa day waka
Yangu,nlikuwa kwenye chai maharage
Lakini

Ova

Halafu sijui ni jini gani watu waliofanya ukonda au kukatisha tiketi wale wa zamani nowdays ni matajiri wakubwa, maana michongo ya hapa na pale ilianzia stand, konda ndio alijua sukari ya zambia na malawi ikifika uyole iwekwe wapi au zile power zinaminywa chini ya chasis mzigo unatambaa, konda ndio alijua maziwa ya south hanakaa wapi, konda ndio alijua kipodozi kinafikaje mjini, siku hizi watoto wapo na vyeti ndani wamelala wanaamka mchana hata kufika ubungo kua salange hawataki, zamani zamani ikumbukwe
 
Tajiri wa Widambe nasikia aligongwa na gari pale Mnazi mmoja Stendi?
Hapana Widambe aligongwa na Landrover 110 ya wizara ya kilimo pale mnazi mmoja wakati akiongozana na msukuma mkokoteni aliyemmbebea mizigi ya dukani kupeleka kwenye basi lake.

Aliyegongwa na basi lake ni mzee Shabiby wa Gairo hukohuko Morogoro alikuwa anaenda kuchukua " hesabu" kwenye chuma inayotoka Dar - Dodoma.
 
Taqwa inaypiga route ya kwenda kongo
Inatembea,nshaipanda sana cha ajabu inajaza mizigo kuliko abiria

Ova

Yale mabasi usihesabu abiria, wao wenyewe wanakueleza mizigo ndio inalipa, nishabeba nao sana nyama ya ng’ombe kwenye ndoo kutoka tunduma kwenda Lubumbashi miaka hiyo, na safari ilikua safi kabisa
 
Unajua Comfort alikuwa na mgogoro mkubwa na jamaa yake jambazi Kipagati.

Kipagati baada ya kutoka jela alitaka ile mali ya Comfort kuanzia Hotel, mabasi na taxi wagawane pasu kwa pasu kwa sababu utajiri huo ulitokana na ujambazi uliopelekea Kipagati kwenda jela.

Nyato akakataa ndipo zilianza figisu za kurogana na Comfort ikafilisika!
Aise nmekukubali

Ova
 
Halafu sijui ni jini gani watu waliofanya ukonda au kukatisha tiketi wale wa zamani nowdays ni matajiri wakubwa, maana michongo ya hapa na pale ilianzia stand, konda ndio alijua sukari ya zambia na malawi ikifika uyole iwekwe wapi au zile power zinaminywa chini ya chasis mzigo unatambaa, konda ndio alijua maziwa ya south hanakaa wapi, konda ndio alijua kipodozi kinafikaje mjini, siku hizi watoto wapo na vyeti ndani wamelala wanaamka mchana hata kufika ubungo kua salange hawataki, zamani zamani ikumbukwe
Enzi zile madogo tulichangamka
Unajua zamani wale waliyokuwa wanafanya
Kazi za ubaharia kwenye meli wanazunguka
Dunia,wao walikuwa washafunguka kwenye mipango mingi na ma idea
Ndomana hata biashara za coaster wao walizileta tena zikiwa brandnew
Kwa hyo ukibahatika kukaa nao chini utapewa mipango mingi sana na kuielewa

Ova
 
Yale mabasi usihesabu abiria, wao wenyewe wanakueleza mizigo ndio inalipa, nishabeba nao sana nyama ya ng’ombe kwenye ndoo kutoka tunduma kwenda Lubumbashi miaka hiyo, na safari ilikua safi kabisa
Yah wakati naenda kongo nligundua kuna wana walikuwa wanaenda kongo na mizigo
Kufanya barter trade
Ila taqwa inatambaa balaa

Ova
 
Back
Top Bottom