MESAYA
Member
- Jan 4, 2012
- 55
- 52
MCHINA Jiang Jing Ying aliyekuwa Tanzania mwaka 1969 kwa ajili ya kujenga reli ya TAZARA amefika nchini na kulia machozi baada ya kuona hali mbaya ya reli hiyo pamoja na wafanyakazi wenzake wa Kibongo ambao walijenga nao reli hiyo na kwa sasa wamestaafu.
Anauliza HIVI HAKUNA NYERERE MWINGINE? na Tanzania haipo? Anasema kwao Nyerere ni kama Mtume au Nabii kama alivyo kwao Mao Tse Tung na kuuliza kama tunamuenzi kwa vitendo kiongozi huyu badala ya maneno!
Anasema yeye huwa anatembea na picha za Nyerere na kusema Wachina wanampenda sana Nyerere na sera zake pamoja na Mao ambazo ndizo zimeifikisha China ipo!
Anauliza Nyinyi Watanzania mna tatizo gani? mbona bado mpo nyuma sana?
Anauliza HIVI HAKUNA NYERERE MWINGINE? na Tanzania haipo? Anasema kwao Nyerere ni kama Mtume au Nabii kama alivyo kwao Mao Tse Tung na kuuliza kama tunamuenzi kwa vitendo kiongozi huyu badala ya maneno!
Anasema yeye huwa anatembea na picha za Nyerere na kusema Wachina wanampenda sana Nyerere na sera zake pamoja na Mao ambazo ndizo zimeifikisha China ipo!
Anauliza Nyinyi Watanzania mna tatizo gani? mbona bado mpo nyuma sana?