TheUchungu
Member
- Jan 17, 2010
- 21
- 0
Jamanni tokea siku CCM ilipozindua kampeni zao pale Jangwani ambapo JK alidondoka sijamsikia tena Mzee Makamba kwenye kampeni zinazoendelea....au kuna mtu amemuona jamani kwenye kampeni Mwanza,kagera...mtwara...
Zipo fununu kwamba aliboronga sana kwenye kura za maoni na kwenye mkutano mkuu kuwapitisha wagombea pia aliharibu sana...mwenye taarifa???
Zipo fununu kwamba aliboronga sana kwenye kura za maoni na kwenye mkutano mkuu kuwapitisha wagombea pia aliharibu sana...mwenye taarifa???