bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,855
- 4,551
Kwa kuwa ujasoma udsmMaswali kama haya na story za aina hii mngeulizana kwenye magroup yenu ya whatsup kuleta hapa haina mantiki yoyote.
Kwa kuwa ujasoma udsmMaswali kama haya na story za aina hii mngeulizana kwenye magroup yenu ya whatsup kuleta hapa haina mantiki yoyote.
Wivu tu ndo unaokusumbua, kwani sisi ndo tulikuchagua uende Sebastian Kolowa? Ni marks zako ndo zilikupeleka huko, punguza kuwaonea wivu intellectualsMaswali kama haya na story za aina hii mngeulizana kwenye magroup yenu ya whatsup kuleta hapa haina mantiki yoyote.
Alikuwa anaogopwa tu na chuo, unajua karibu marais wote wa DARUSO ni pandikizi wa chuo au wanawekwa na 'wenyewe'.Yule jamaa kipindi anasoma mimi nilikuwa nishatoka hapo miaka 8 iliyopita lakini nilimjua, media zote alicover yeye, alichukua fomu ya kugombania uraisi uongozi wa chuo wakaona atashinda wakafikiri itakuwa dharau raisi wa UD atokee uganda
Mkuu hesabu zako unapigaje? Mimi nilikuwa pale miaka kumi iliyopita nilizikuta stori zake ila wewe miaka nane iliyopita alikuta umeshatoka?Yule jamaa kipindi anasoma mimi nilikuwa nishatoka hapo miaka 8 iliyopita lakini nilimjua, media zote alicover yeye, alichukua fomu ya kugombania uraisi uongozi wa chuo wakaona atashinda wakafikiri itakuwa dharau raisi wa UD atokee uganda
Hujamwelewa bana, yaani jamaa alikuwa amashamaliza miaka 8 kabla Odwar hajaja UDSM.Mkuu hesabu zako unapigaje? Mimi nilikuwa pale miaka kumi iliyopita nilizikuta stori zake ila wewe miaka nane iliyopita alikuta umeshatoka?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ahaa ahsante kwa kunielewesha, naona uzee unanijia vibayaHujamwelewa bana, yaani jamaa alikuwa amashamaliza miaka 8 kabla Oduor hajaja UDSM.
Wee mams. Huyu alipita UD miaka nane kabla odong hajaanza chuo, ila habari zake alizipata akiwa mtaani huko.Mkuu hesabu zako unapigaje? Mimi nilikuwa pale miaka kumi iliyopita nilizikuta stori zake ila wewe miaka nane iliyopita alikuta umeshatoka?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa bossWee mams. Huyu alipita UD miaka nane kabla odong hajaanza chuo, ila habari zake alizipata akiwa mtaani huko.
Yaweza kuwa kweli uzee nami nahisi hivyo. Kama ni 8 yrs kabla yake so utakuwa ulimaliza 1997+/- kama mimi.Ahaa ahsante kwa kunielewesha, naona uzee unanijia vibaya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuYaweza kuwa kweli uzee nami nahisi hivyo. Kama ni 8 yrs kabla yake so utakuwa ulimaliza 1997+/- kama mimi.
Hujanielewa, namaanisha baada ya mimi kutoka pale na kuwa kitaani ikapita miaka 8 ndio bwana Odong akafika pale chuoniMkuu hesabu zako unapigaje? Mimi nilikuwa pale miaka kumi iliyopita nilizikuta stori zake ila wewe miaka nane iliyopita alikuta umeshatoka?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuHujanielewa, namaanisha baada ya mimi kutoka pale na kuwa kitaani ikapita miaka 8 ndio bwana Odong akafika pale chuoni
Maswali kama haya na story za aina hii mngeulizana kwenye magroup yenu ya whatsup kuleta hapa haina mantiki yoyote.