mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
I just hope he is somewhere safe and sound. Kongosho tafadhali saidia kumtafuta.
Kipipi asante kwa kunipa moyo shosti, ila nitashukuru ukisaidia kupiga kelele ya kumtafuta.Ni jambo la kheri kumkumbuka mwenzio kwa nia njema........for it shows how much you care and love!! Don't worry mwaJ pengine ni mgawanyo wa majukumu tu ndo umemtinga, na sio yeye tu....kuna members wengi wameadimika sana jukwaani!!
FirstLady1 waweza kuwa sahihi, hebu tusubiri anaweza kutushushia uzi wa kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri.Allien Anangojea kuapishwa baraza la mawaziri
FirstLady1 waweza kuwa sahihi, hebu tusubiri anaweza kutushushia uzi wa kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri.