You're Like Chickens, Bingu Tells Malawians

The Finest

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
21,605
6,072
Malawi President Bingu Wa Mutharika likened Malawians to "chickens" that make noise on simple issues like the twin problems of forex and fuel, which are "just small challenges", saying Malawi is facing numerous problems than those two.

Mr Mutharika made the remark in Zomba, Malawians old capital city when he launched a National Tree Planting season which comes during rainy season. "Malawians are like chickens, they cry over simple issues". Are you telling me that the only problems you can cry about are forex and fuel?. Mutharika said opposition political parties and 'opposition' NGOs were only interested on issues that would endear themselves with the international community but that would not help Malawians.
 
Ukimsikiliza Bingu utapata picha kuwa he is smart man. Anaplan za muda mfupi na mrefu za kuresolve issues na anaweza kufanya maamuzi magumu. Hata implimentation ya plan zake zinaonekana. Japokuwa UK wamesitisha misaada kwa mlw na almflush baloz wao Kwacha bado ipo imara.
 
Ukimsikiliza Bingu utapata picha kuwa he is smart man. Anaplan za muda mfupi na mrefu za kuresolve issues na anaweza kufanya maamuzi magumu. Hata implimentation ya plan zake zinaonekana. Japokuwa UK wamesitisha misaada kwa mlw na almflush baloz wao Kwacha bado ipo imara.

Haihitajiki mtu kusoma uchumi ili kugundua kuwa inflation inapokuwa kubwa na sarafu lazima itayumba. Kwacha ina hali mbaya kuliko maelezo. Unadhani matatizo yanayolalamikiwa nini? Yaani ukose fedha za kigeni halafu sarafu yako ibaki stable? Labda kwenye planned economy ambapo unaweza kupanga artificial rate, na Malawi definitely ni market economy.
 
ni hekima kwa kiongozi yeyote kupima athari ya kauli zake kabla hajazitoa kwa umma; unfortunately, wengi wao hujisahau
 
Viongozi wa Afrika hawapimi kauli zao kwa sababu wakishaingia wana kinga ya kutoshitakiwa na kuondolewa madarakani
 
Back
Top Bottom