DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Nawachukia asians especially wahindi kwa sababu moja tu,'UBINAFSI' yaani wako tayari CCM iendelee kutawala hata miaka Elfu so long inalinda maslahi yao wao ambao ni wachache kwa gharama ya wengi ambao ni maskini
Kwenye nyekundu hapo ndipo shina la chuki za Watanzania walio wengi juu ya hawa wanaoitwa Watanzania wenye asilia ya Kiasia,ambayo leo Sabodo anakana wasiitwe waasia, sijui atwambie kwanini wanapenda waitwe Watanzania wenye asili ya asia, kwa kutamkwa ikifika kwenye kuandikwa wakatae.
Hiyo liko wazi sana kuwa kijana wa kibantu anaekaa Kindondoni ana nafasi kubwa ya kuoana na kijana wa Kizungu toka Ulaya, amabe anaishi maelufu na maelufu ya kilomita kuliko kuona na kijana mwenye asili ya kiasia anae ishi Upanga jijini Dar es Salaam kama umbali tofauti ya mita mia tano tu. [Bofya Hapa Uone ubinafsi wao na ndoa dhidi ya wamatumbi ngozi nyeusi]
Tunajenga Tanzania ama Tunabomoa Tanzania