Yanga bingwa kombe la kimataifa(kagame cup)mara ya pili mfululizo,"Rais" Manji alinda vyumba vya wachezaji uwanjani visihujumiwe na watu wa bakhresa Rais wa Yanga,bwana Yusuf Manji akikaba mpaka penati kuhakikisha no hujuma leo jioni uwanja wa taifa Yanga wakishangilia baada ya kurudishiwa "ndoo" yao tena |
Kombe la kagame ndo nini? Lini tutakuwa na kombe la jk? Sasa mnashangilia kombe la mbuzi? Upuuzi mtupu
Kombe la kagame ndo nini? Lini tutakuwa na kombe la jk? Sasa mnashangilia kombe la mbuzi? Upuuzi mtupu