Yeyote yule kwenye madaraka anayetoa idhini ya kuweka yadi za kontena ndani ya jiji la Dar Es Salaam bila kuangalia hali ya barabara kwa malori kuingia na kutoka ndani ya hizo yadi sidhani kama anajua anachokifanya, matokeo yake malori yanaziba barabara, yanageuzageuza na kupaki barabarani, yanasababisha foleni bila sababu! Matatizo mengine ni ya kujitakia.......