lugonopanja98
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 265
- 139
CiC ni mkubwa kwa CDF unajua HilMABEYO asiingilie
CiC ni mkubwa kwa CDF unajua HilMABEYO asiingilie
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically
Mtu una ulinzi wore wa serikali upange mikakati bila kujulikana?Kassim nae alikuwa na kikao chake Lindi kupanga safu yake. Je Mama ana jua hilo?
Je ana taarifa kwamba Mwigulu nae ana taka urais come 2025??
Point ni this indicates, ndugai wasn't independently representative of the Legislative body. Why should the gvt interfere? He had all right to say that. And if we had a new const. To put the motion at the parliament on weather to take a new loan or not. Speaker of the house of representative to the citizens should be powerful than the executive...my viewsNimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!
Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!
Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!
Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.
Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Ndugai slivyogombewa kama mpira wa kona, na wale wenyeviti wa CCM Mikoa na yule mwenezi wa Njombe, nikajua jua limemchwea Ndugai.
We jamaa u made my day bro,nimecheka kis**** ,umewaza nini?😂😂😂😂😂Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
Ndugai yawezekana alishawishiwa kuomba msamaha akifikiri waliomshawishi wametumwa na mamlaka kumbe kukiri kosa limetumika kummaliza yeye.Nimeshangazwa Sana kuona ndugai anaomba msamaha kwa unyenyekevu miubwa lakini bado kakanyagwa kanyagwa leo..ubabe wa kipuuzi wa ndugai umefika mwisho..
Ndugai yawezekana alishawishiwa kuomba msamaha akifikiri waliomshawishi wametumwa na mamlaka kumbe kukiri kosa limetumika kummaliza yeye.Nimeshangazwa Sana kuona ndugai anaomba msamaha kwa unyenyekevu miubwa lakini bado kakanyagwa kanyagwa leo..ubabe wa kipuuzi wa ndugai umefika mwisho..
Nilicheka kweli.Erasto wa Njombe alimpiga spana za utosini kabisa..
Lakini mama mwenyewe sliwachelewesha.Wafuasi wa Magu maji ya pua sasaiv
Hamfui dafu, subiri mtikisiko wa baraza la mawaziri.Huyo tulimkana siku alipo shadadia bwagamoyo port.
Sukuma gang tunasema alinywe mwenyewe tunasimama na
gwajiboy na polepole..
Rafu zetu hazipo huko..Hamfui dafu, subiri mtikisiko wa baraza la mawaziri.
Wafuasi wa Magu lazima wapigwe chini wote.
Nachagua walidagaa kuliko walimwenguDaaah,Walimwengu
Trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati, hivi tuna akili timamu kweli?!Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
Nilicheka kweli.
Hawavumi lakini wamo!
Huyi Erasto wa Njombe apewe usemaji CCM.
Zaaaaambiii.Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
Unasemaaaa?Trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati, hivi tuna akili timamu kweli?!
We kichaa bado unaongopa zaidi??? Acha makasiriko ya kike juu ya RAIS Samia.Trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati, hivi tuna akili timamu kweli?!
Mikopo ni hatari zaidiMama fukuza Jobu Ndugai ni mtu hatari sana kwako