Tangazo la Mlimani Tv linamuonyesha mwanaJF nguli Yericko Nyerere akichambua mambo ya mitandao ya kijamii hasa JF na sheria ya CCM ya mitandao ya kijamii.
Mtazame:
Mtazame:
Last edited by a moderator:
Laki mbili ya dogo yupi?hebu leta habari kwa wasiojua.sheria za mitandao zipi anazozungumzia yerico wakati yeye mwenyewe kadhulumu kupitia mitandao hiyohiyo? arudishe laki mbili ya dogo
wewe mbona mwenyeji humu halafu huijui hiyo? subiri nikutafutieLaki mbili ya dogo yupi?hebu leta habari kwa wasiojua.
pitia hapaLaki mbili ya dogo yupi?hebu leta habari kwa wasiojua.
sheria za mitandao zipi anazozungumzia yerico wakati yeye mwenyewe kadhulumu kupitia mitandao hiyohiyo? arudishe laki mbili ya dogo
Hahahaha
How anonymous can be very powerful
Huyo Julieth Robert vipi....
Mkuu una macho .....ha ha haa ngoja nimtazame tena