Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Mwakata wakombe, wasungu, mwalinda uliiiii? Za Kung'anda? Awe zyaulaaaaaa. Kwiiiiiiiiii, Kwiiiiiiiiiiiiii ,kwiiiiiiiiii, ngoja nicheke kama kibera...........mie (mhmhmhmhmhhmhmhmhh). Mwita25 alisema atatembea bila nguo kutoka Ubungo...hadi Posta........kwa miguu(Kule Igunga)......sasa na avue tuone hilo duduz lake...............(kwa arumeru mashariki) mweeeeeeee,,.teheteheteh. Kuna "kachonchi" mwingine alisema atajinyonga.....sasa ajinyonge..........yaaani nashindwa nishangilie kwa lugha gani roho yangu iridhike. Mie Mtu wa kanda ya ziwa ila imebidi nisherekeeee kwa kifipa (lugha ya pinda). Rejao na wengine wana hali gani sasa hivi. Ritz mwambie mwita25nategemea nione habari leo jioni mtu aliyetembea uchi kutoka Ubungo hadi posta...........
Hapa Bukoba mjini vijana wako wanafunga bendera kwenye magari na pikipiki kusherekea ushindi wa CHADEMA watazunguka kila mahali........leo wikiend inaendelea mweee mweeee, iyoooooo maweeeeee, kwakweli Mukama Katonda Asimwe.
Kwiwwiwiwiwiwiwiwwwkwkwkwiwwwwiwiwiwiw, Kiranga wapi..........Ribosome.................mama porojo wapiiiiiiiiii?
Tuangalie hypothetical syllogism hapa chini
Wana CCM wote wana akili sawa,
Livingstone Lusinde ni mwana CCM,
kwa hiyo Wana CCM wote wana akili kama za Livingstone Lusinde
This includes......... Nchemba, Nape et al.
Hapa Bukoba mjini vijana wako wanafunga bendera kwenye magari na pikipiki kusherekea ushindi wa CHADEMA watazunguka kila mahali........leo wikiend inaendelea mweee mweeee, iyoooooo maweeeeee, kwakweli Mukama Katonda Asimwe.
Kwiwwiwiwiwiwiwiwwwkwkwkwiwwwwiwiwiwiw, Kiranga wapi..........Ribosome.................mama porojo wapiiiiiiiiii?
Tuangalie hypothetical syllogism hapa chini
Wana CCM wote wana akili sawa,
Livingstone Lusinde ni mwana CCM,
kwa hiyo Wana CCM wote wana akili kama za Livingstone Lusinde
This includes......... Nchemba, Nape et al.