Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Hivi jamani dada zangu hizi rasta za mnazosuka mistari ya twende kilioni style huwa zinabadilishwa baada ya mda gani. Nauliza hivi kwa sababu wengi ninaopishana nao huwa unakuta zinatoa uvundo kweli.
Kama basi mtu kaka kiti cha mbele yako kwenye daladala utajuta. Na haka kajoto kalivyokolea ni balaa tupu. Asinyeshewe mvua. lo..lo.. loh..!
SAMAHANINI LAKINI.
Kama basi mtu kaka kiti cha mbele yako kwenye daladala utajuta. Na haka kajoto kalivyokolea ni balaa tupu. Asinyeshewe mvua. lo..lo.. loh..!
SAMAHANINI LAKINI.