Yasikukute haya: Utajuta

Benno

JF-Expert Member
Nov 21, 2009
332
51
Nipo Tumaini Hosp. Ndugu yangu amelazwa, Alianza kutumia ARV AUGUST 2010, akiwa na CD4- 219. April 6. 2010 akapima CD4 ikapanda mpaka 1000. Akaenda Kwa BABU LOLIONDO tar 11 april 2011. Baada ya kupata kikombe aliacha kutumia dawa kwa siri. Sasa Hali ni mbaya. Angalizo kuweni makini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom