njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,664
Yanga SC ni timu kubwa sana wakati timu nyingine hubabaika sana na kutanguliza mashushushu wiki 2 kabla wao wanapeleka baada ya mechi ya kwanza, huo ndiyo ukubwa wa timu inayojiamini. Yaani kiwango cha Mamelodi, Raja, Wydad.
Sasa zikiwa zimebaki siku 5 ndipo Yanga wamepeleka mashushushu wawili Khartoum kuweka mambo sawa kabla ya kwenda kupindua meza kwa kuwachapa timu ndogo ya Al Hilal mabao 2-0.
Anayebisha abishe tu lakini Al Hilal kazidiwa kifedha na Yanga, kazidiwa ubora wa wachezaji, kazidiwa ubora wa benchi la ufundi.
Mwakalebela na shushushu mwenzake wanatarajiwa kufanya kazi nzuri tofauti na iliyofanywa na shushushu Senzo aliyetangulizwa kule Rivers State
Nigeria akiambatana na mpishi wakafanikisha kuweka sawa mambo ya ugali na dagaa wakisahau mambo mengine hadi Jenerali Bugatti alipoingilia kati pale uwanjani na kuwaambia wachezaji "ZIS IS WAR ZIS WAR, WAR IS ZEA".
***Hii picha haihusiani na mashushu bali ni kikosi kazi cha kushughulika na kesi za Yanga huko CAS na FIFA na huwa kinashindwa kesi kila siku! Hapa kilikuwa mubashara mtandaoni kikipambana na wakili msomi Bm3 wakaangukia pua
Sasa zikiwa zimebaki siku 5 ndipo Yanga wamepeleka mashushushu wawili Khartoum kuweka mambo sawa kabla ya kwenda kupindua meza kwa kuwachapa timu ndogo ya Al Hilal mabao 2-0.
Anayebisha abishe tu lakini Al Hilal kazidiwa kifedha na Yanga, kazidiwa ubora wa wachezaji, kazidiwa ubora wa benchi la ufundi.
Mwakalebela na shushushu mwenzake wanatarajiwa kufanya kazi nzuri tofauti na iliyofanywa na shushushu Senzo aliyetangulizwa kule Rivers State
Nigeria akiambatana na mpishi wakafanikisha kuweka sawa mambo ya ugali na dagaa wakisahau mambo mengine hadi Jenerali Bugatti alipoingilia kati pale uwanjani na kuwaambia wachezaji "ZIS IS WAR ZIS WAR, WAR IS ZEA".
***Hii picha haihusiani na mashushu bali ni kikosi kazi cha kushughulika na kesi za Yanga huko CAS na FIFA na huwa kinashindwa kesi kila siku! Hapa kilikuwa mubashara mtandaoni kikipambana na wakili msomi Bm3 wakaangukia pua