YANGA watachezea kichapo kwa namna yeyote ile.hahahahah..........mpira unadunda tusubiri
haya bana, ila yebo mna hali ngumu hata mbadilishe uongozi kichapo bado kipo hapohapo.We vp?sasa hilo nalo la kuuliza?wanaovaa red like man u matokeo yanajulikana.lazima simba wapewe kitu cha 'mansita'.
Nilikuwa sijui umekalia upande upi ila kwa hapa hata sihitaji kukuuliza tena, ila kichapo kipo pale pale.hahahahah..........mpira unadunda tusubiri
mmeruka mikojo mkakanyaga kinyesi, TIMBE ni Bora kuliko PAPIC, inshort TIMBE ni bora kuliko makocha wengi waliopita YANGA, huo ndo ukweli wenyewe. Makombe 2 si MCHEZO, tena Kagame ndani yake.Mbabe wenu kaja Professor Papic anajua kuwapelekea kilio mzimbazi!!
ahaa wapi?yanga 3-simba 1
yap, hiyo lazimayanga lazima wapokee kichapo
Ndoto za mchana mbaya sana.Jumamosi ya 29/10/2011 matokeo yatakuwa YANGA 1-SIMBA 6. Kipigo watakachopata hawa yeboyebo naona itakuwa kama MAN UTD VS MAN CITY. karibuni tuchangie, Nawasilisha.
Nilikuwa sijui umekalia upande upi ila kwa hapa hata sihitaji kukuuliza tena, ila kichapo kipo pale pale.
Unapajua lakini nilipokalia mimi?nimekalia hapo hapo ulipo kaa wewe