Yanga Sc Kama haina matumizi na kibwana Shomari ni Bora wamuuze au wamtoe kwa mkopo katika dirisha dogo ili mashabiki tuburudike na kipaji chake

Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi.

KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof Nabbi, hakika bwana mdogo ni kitasa haswa/anajua kukaba na kusikiliza maelekezo ya kocha.

Joyce Lomalosa ni mtu wa kupanda na kumwaga maji(kupiga klos) katika lango la maadui ni mzuri kwa Hilo na ana kontrol nzuri mguuni, kontrol ambayo hufanya mpira umtii lakini si mzuri kukaba akikutana na winga machachali huwa anateseka.

KIbwana shomari anacheza beki namba 2&3 ni kilaka mzuri aliyetengenezwa na kocha Nabbi, Kuna muda wachambuzi walisema "Kama kibwana akiendelea na ubora huu Basi anaweza kuwa mrithi wa Shomari kapombe taifa stars"

Toka kocha Gamondi aingie Yanga Sc sikumbuki kibwana Shomari Mara ya mwisho kucheza ilikua ni lini naona Kibabage anapata namba na endapo Yao akiwa majeruhi kocha anachagua kumchezesha Dikson job Kama beki namba 2.

Maoni Yangu: Kama kocha anaona haingii kwenye mfumo wake ni vyema dirisha dogo atolewe hata kwa mkopo kuliko kukaa benchi wakati mashabiki tunapenda kumuona uwanjani kijana huyu kitasa aliyebarikiwa kipaji.
Kibwana shomari ana kipaji gani mzee zaidi ya kutumia nguvu tu kama kibu denis soka la kisasa linahitaji watu talented beki asist anazitafuta kwa shida hawezi hata kupiga cross nguvu nyingi akili kisoda shabash.
 
Kibwana shomari ana kipaji gani mzee zaidi ya kutumia nguvu tu kama kibu denis soka la kisasa linahitaji watu talented beki asist anazitafuta kwa shida hawezi hata kupiga cross nguvu nyingi akili kisoda shabash.
Aisee mtu anayekusifu Leo , ndyo huyohuyo wa kuja kukuponda kesho
 
Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi.

KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof Nabbi, hakika bwana mdogo ni kitasa haswa/anajua kukaba na kusikiliza maelekezo ya kocha.

Joyce Lomalosa ni mtu wa kupanda na kumwaga maji(kupiga klos) katika lango la maadui ni mzuri kwa Hilo na ana kontrol nzuri mguuni, kontrol ambayo hufanya mpira umtii lakini si mzuri kukaba akikutana na winga machachali huwa anateseka.

KIbwana shomari anacheza beki namba 2&3 ni kilaka mzuri aliyetengenezwa na kocha Nabbi, Kuna muda wachambuzi walisema "Kama kibwana akiendelea na ubora huu Basi anaweza kuwa mrithi wa Shomari kapombe taifa stars"

Toka kocha Gamondi aingie Yanga Sc sikumbuki kibwana Shomari Mara ya mwisho kucheza ilikua ni lini naona Kibabage anapata namba na endapo Yao akiwa majeruhi kocha anachagua kumchezesha Dikson job Kama beki namba 2.

Maoni Yangu: Kama kocha anaona haingii kwenye mfumo wake ni vyema dirisha dogo atolewe hata kwa mkopo kuliko kukaa benchi wakati mashabiki tunapenda kumuona uwanjani kijana huyu kitasa aliyebarikiwa kipaji.
Hivi ni lazima uanzishe nyuzi JF kila siku?kwani kuna Mashindano humu??non sense
 
Hivi ni lazima uanzishe nyuzi JF kila siku?kwani kuna Mashindano humu??non sense
Jikite KWENYE HOJA mpumbavu wewe suala la KUANZISHA nyuzi hata wewe unaweza KUANZISHA kwani humu hakuna limit so usipangie watu Kama JF ya baba ako.
 
Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi.

KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof Nabbi, hakika bwana mdogo ni kitasa haswa/anajua kukaba na kusikiliza maelekezo ya kocha.

Joyce Lomalosa ni mtu wa kupanda na kumwaga maji(kupiga klos) katika lango la maadui ni mzuri kwa Hilo na ana kontrol nzuri mguuni, kontrol ambayo hufanya mpira umtii lakini si mzuri kukaba akikutana na winga machachali huwa anateseka.

KIbwana shomari anacheza beki namba 2&3 ni kilaka mzuri aliyetengenezwa na kocha Nabbi, Kuna muda wachambuzi walisema "Kama kibwana akiendelea na ubora huu Basi anaweza kuwa mrithi wa Shomari kapombe taifa stars"

Toka kocha Gamondi aingie Yanga Sc sikumbuki kibwana Shomari Mara ya mwisho kucheza ilikua ni lini naona Kibabage anapata namba na endapo Yao akiwa majeruhi kocha anachagua kumchezesha Dikson job Kama beki namba 2.

Maoni Yangu: Kama kocha anaona haingii kwenye mfumo wake ni vyema dirisha dogo atolewe hata kwa mkopo kuliko kukaa benchi wakati mashabiki tunapenda kumuona uwanjani kijana huyu kitasa aliyebarikiwa kipaji.
Beki ikiwa na kIBWANA INARUHUSU SANA magoli
 
Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi.

KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof Nabbi, hakika bwana mdogo ni kitasa haswa/anajua kukaba na kusikiliza maelekezo ya kocha.

Joyce Lomalosa ni mtu wa kupanda na kumwaga maji(kupiga klos) katika lango la maadui ni mzuri kwa Hilo na ana kontrol nzuri mguuni, kontrol ambayo hufanya mpira umtii lakini si mzuri kukaba akikutana na winga machachali huwa anateseka.

KIbwana shomari anacheza beki namba 2&3 ni kilaka mzuri aliyetengenezwa na kocha Nabbi, Kuna muda wachambuzi walisema "Kama kibwana akiendelea na ubora huu Basi anaweza kuwa mrithi wa Shomari kapombe taifa stars"

Toka kocha Gamondi aingie Yanga Sc sikumbuki kibwana Shomari Mara ya mwisho kucheza ilikua ni lini naona Kibabage anapata namba na endapo Yao akiwa majeruhi kocha anachagua kumchezesha Dikson job Kama beki namba 2.

Maoni Yangu: Kama kocha anaona haingii kwenye mfumo wake ni vyema dirisha dogo atolewe hata kwa mkopo kuliko kukaa benchi wakati mashabiki tunapenda kumuona uwanjani kijana huyu kitasa aliyebarikiwa kipaji.
we sio kocha mwache kocha wa yanga afanye kazi yake
 
Uko sahihi kibwana ni hazina yeye na Farid Musa ningetarajia kuwaona wakiingia kucheza
 
Mechi zote job alizocheza namba mbili kibwana akuwepo ata bench na Kuna mechi pia Yao akuwepo Wala kibwana akuwepo pia
 
Mechi zote job alizocheza namba mbili kibwana akuwepo ata bench na Kuna mechi pia Yao akuwepo Wala kibwana akuwepo pia
Kibwana alikuwa anabebwa na Nabi tu,....,Ile fainali ya Kwanza Dar...uliona Waarabu walivyokuwa wanamfanya beki ya kushoto....! lkn fainali ya pili Nabia alivyoamua kwenda na Lomalisa Beki ya kushoto wale Waarabu walikubali mziki...

Mpira ni Science ckuiz sio kukaba mpaka unajikaba mwenyewe....Beki tatu hugeuka Mshambuliaji ktk mifumo ya Mpira...

Kibwana hana namba Yanga ya Gamondi kwa uchezaji wake ule.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kwani unamlipa mshahara?

Amekulalamikia kuwa kipaji kinakufa?

Mazoezini akicheza inatosha.
 
Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi.

KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof Nabbi, hakika bwana mdogo ni kitasa haswa/anajua kukaba na kusikiliza maelekezo ya kocha.

Joyce Lomalosa ni mtu wa kupanda na kumwaga maji(kupiga klos) katika lango la maadui ni mzuri kwa Hilo na ana kontrol nzuri mguuni, kontrol ambayo hufanya mpira umtii lakini si mzuri kukaba akikutana na winga machachali huwa anateseka.

KIbwana shomari anacheza beki namba 2&3 ni kilaka mzuri aliyetengenezwa na kocha Nabbi, Kuna muda wachambuzi walisema "Kama kibwana akiendelea na ubora huu Basi anaweza kuwa mrithi wa Shomari kapombe taifa stars"

Toka kocha Gamondi aingie Yanga Sc sikumbuki kibwana Shomari Mara ya mwisho kucheza ilikua ni lini naona Kibabage anapata namba na endapo Yao akiwa majeruhi kocha anachagua kumchezesha Dikson job Kama beki namba 2.

Maoni Yangu: Kama kocha anaona haingii kwenye mfumo wake ni vyema dirisha dogo atolewe hata kwa mkopo kuliko kukaa benchi wakati mashabiki tunapenda kumuona uwanjani kijana huyu kitasa aliyebarikiwa kipaji.
Alisema Kazini kwake kuna kazi
 
Back
Top Bottom