Yanga kufungwa Jumamosi na CR Belouzdad

mchawi wa kusini

JF-Expert Member
Apr 18, 2018
805
810
Habari ya usiku huu wana JF Hapo hakuna cha zaidi ya kusema kuwa Yanga jumamosi anaenda kulitia albu Taifa la Tanzania.

Sababu ya kwanza Tanzania Hakuna timu ya kuifunga hiyo timu. Timu za Tanzania zinabebwa na Marefa washenzi washenzi Wanao haribu Mpira kwa Mapenzi yao binafsi.

Maoni; TFF toeni adhabu kali kwa marefa wa Tanzania ili Kutengeneza Timu zilizo bora.
 
Habari ya usiku huu wana JF Hapo hakuna cha zaidi ya kusema kuwa Yanga jumamosi anaenda kulitia albu Taifa la Tanzania.

Sababu ya kwanza Tanzania Hakuna timu ya kuifunga hiyo timu. Timu za Tanzania zinabebwa na Marefa washenzi washenzi Wanao haribu Mpira kwa Mapenzi yao binafsi.

Maoni; TFF toeni adhabu kali kwa marefa wa Tanzania ili Kutengeneza Timu zilizo bora.
Wakati unaandika huu uzi wako ulikuwa ndiyo unajiandaa kwenda kuwanga bila shaka.
 
Habari ya usiku huu wana JF Hapo hakuna cha zaidi ya kusema kuwa Yanga jumamosi anaenda kulitia albu Taifa la Tanzania.

Sababu ya kwanza Tanzania Hakuna timu ya kuifunga hiyo timu. Timu za Tanzania zinabebwa na Marefa washenzi washenzi Wanao haribu Mpira kwa Mapenzi yao binafsi.

Maoni; TFF toeni adhabu kali kwa marefa wa Tanzania ili Kutengeneza Timu zilizo bora.
Wewe sio mungu sisi ndio Yanga SC wewe 😂😂
20240224_210845.jpg
 
Back
Top Bottom