HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Jambo lililo wazi ni kwamba muda mfupi ujao Yanga watakiona cha mtema kuni katika uwanja wa Taifa. Mziki wa Simba sasa hivi si mchezo. Hebu angalia ile spidi kali ya forward ya Simba, bila kusahau ujio wa nyota mpya wa soka Hapa Tanzania Mbwana Samatta "Golden Boy Juniour", Yanga lazima wachezee kichapo angalau mbili.