Yanga ikianza na chama hili,Simba hatoboi

Forest Hill

JF-Expert Member
Mar 4, 2018
2,027
3,981
Habari ndugu zangu,,Mimi Kama shabiki wa mpira,mwananchi..Kama professor ataanza na kikosi hiki,,Simba Sc watapata tabu Sana...
1: diara
2:djuma
3: Bryson
4:Mwamnyeto au dick Job
5:Bangala..
6:Mukoko
7:Mukoko
8:Aucho
9:Mayele
10:feisal salum "fei Toto" MAESTRO
11: SAIDO


Nasubiri shabiki wa makolo ashuke kikosi chake Cha ushindi...
 
Habari ndugu zangu,,Mimi Kama shabiki wa mpira,mwananchi..Kama professor ataanza na kikosi hiki,,Simba Sc watapata tabu Sana...
1: diara
2:djuma
3: Bryson
4:Mwamnyeto au dick Job
5:Bangala..
6:Mukoko
7:Mukoko
8:Aucho
9:Mayele
10:feisal salum "fei Toto" MAESTRO
11: SAIDO


Nasubiri shabiki wa makolo ashuke kikosi chake Cha ushindi...
Edit apo kwanza no.6/7 Mukoko.
Alafu usilete kikosi chako uku ukiwa na wenge mtafungwa na Mnyama.
 
yaani keshoo makolo kimbieni, mkiji danganya kupeleka tim tuu, papaa mayele 'ana tetema' mara4, Feisal 2, saidoo1....
 
Habari ndugu zangu,,Mimi Kama shabiki wa mpira,mwananchi..Kama professor ataanza na kikosi hiki,,Simba Sc watapata tabu Sana...
1: diara
2:djuma
3: Bryson
4:Mwamnyeto au dick Job
5:Bangala..
6:Mukoko
7:Mukoko
8:Aucho
9:Mayele
10:feisal salum "fei Toto" MAESTRO
11: SAIDO


Nasubiri shabiki wa makolo ashuke kikosi chake Cha ushindi...
Simba 3 yanga 0
 
Screenshot_20211210-203702.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom