Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,612
- 10,137
Ubora, ubira, ubora, ndiyo kitu pekee unachoweza kuizungumzia Yanga ya Nabi. Kungekua na uwezekano wa kurudisha muda nyuma ingepigwa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga ya Nabi na Barcelona ya Gadiora. Ni mechi ambayo tungepata burudani kubwa sana kutoka kwa timu zote mbili.
Ni wakati muafaka wa kuihamishia Yanga ikacheze La Liga, kwa mpira unaopigwa na vijana siyo tena kiwango cha Ligi ya Bongo.
Nitaongea nini kuhusu Fiston Mayele? Ni wakati wa huyu jamaa kutafutiwa jina lake, maana kumuita mshambuliaji ni kumkosea heshima, haiwezekani Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis aitwe mshambuliaji pia!
Ni wakati muafaka wa kuihamishia Yanga ikacheze La Liga, kwa mpira unaopigwa na vijana siyo tena kiwango cha Ligi ya Bongo.
Nitaongea nini kuhusu Fiston Mayele? Ni wakati wa huyu jamaa kutafutiwa jina lake, maana kumuita mshambuliaji ni kumkosea heshima, haiwezekani Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis aitwe mshambuliaji pia!