OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,238
- 103,909
Klabu ya Young Africans Timu A š° jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.
Matokeo yamefichwa
Matokeo yamefichwa
Lakn mwaka Jana pre season ilicheza na jkt tz na ikatoa sare mkabeza SanaKlabu ya Young Africans Timu A jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.
Matokeo yamefichwa
yaani JKU wameshindwa kuifunga yanga??? siamini, ngoja nifuatilie..Klabu ya Young Africans Timu A jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.
Matokeo yamefichwa
Lakn mwaka Jana pre season ilicheza na jkt tz na ikatoa sare mkabeza Sana
Mwisho wa msimu kila mtu aliweka mkia matakoni
Kumbe mnabanwa na pumzi eehKeshokutwa mnafanya tamasha lenu. Hivyo ni wakati sasa wa kuiacha Yanga ili ipimue. Maana nyuzi zenu za kuisakama zimezidi sasa humu jukwaani.
Wala hakuna anayebanwa na pumzi. Ninachofahamu, baadhi ya mashabiki wa simba hamjitambui.Kumbe mnabanwa na pumzi eeh
Tatizo mbachgua taarifa za kuzileta nje, sisi tunawasaidia kuzileta zote bila kubaguaWala hakuna anayebanwa na pumzi. Ninachofahamu, baadhi ya mashabiki wa simba hamjitambui.
Pre season haina miamala ya simu.Lakn mwaka Jana pre season ilicheza na jkt tz na ikatoa sare mkabeza Sana
Mwisho wa msimu kila mtu aliweka mkia matakoni
Yangefichwa usingeyaona hivyo usingeyabandika hapaKlabu ya Young Africans Timu A š° jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.
Matokeo yamefichwa
kontenti ipo hapo mwshon...kwa Nini mfiche matokeo?Afuu mleta mada nae ana beji ya platinum memberš¤£š¤£, jf mnajidhalilisha kutoa hizi beji. Sasa Jku sio timu?, Au unafikiri maandalizi ya msimu ni timu kushinda?. Tunapowaambia Simba Simba mmeja matahira ndio hivi. JKU na mlandege hawapo ligi moja? Mbona hukuona ajabu Simba kutolewa mapinduzi na mlandege?.
Ona hili jinga. Mimi nimeleta matokeo ya mchezo. Wewe unakuja kumanua domo hapa. Taahira mama yakoAfuu mleta mada nae ana beji ya platinum memberš¤£š¤£, jf mnajidhalilisha kutoa hizi beji. Sasa Jku sio timu?, Au unafikiri maandalizi ya msimu ni timu kushinda?. Tunapowaambia Simba Simba mmeja matahira ndio hivi. JKU na mlandege hawapo ligi moja? Mbona hukuona ajabu Simba kutolewa mapinduzi na mlandege?.
Huwezi ficha kwa kila mtuYangefichwa usingeyaona hivyo usingeyabandika hapa
Li timu lao mwaka huu ni bovu Kwelikweli ingawa hawataki kuamini hivyo.Niteteeni, nalalamikiwa kuleta matokeo ya Uto