M MR JIMY New Member Oct 22, 2013 3 0 Oct 22, 2013 #1 Wana jf tena wataalam wa soka naomba kujua kipi kiliwasibu yanga kipindi cha pili hadi simba ikarudisha magoli yote matatu.
Wana jf tena wataalam wa soka naomba kujua kipi kiliwasibu yanga kipindi cha pili hadi simba ikarudisha magoli yote matatu.
PrN-kazi JF-Expert Member Feb 5, 2011 2,900 444 Oct 23, 2013 #2 Uwezo wa Yanga wa kucheza na timu inayocheza mpira wa Akili kama Simba ni dk.45 tu. Kwani uzee walionao Wachezaji ni kikwazo.
Uwezo wa Yanga wa kucheza na timu inayocheza mpira wa Akili kama Simba ni dk.45 tu. Kwani uzee walionao Wachezaji ni kikwazo.