Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Wana JF,Niliwahi kuja na uzi huu hapa chini:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...myao-kwa-mpwa-wangu%85%85%85%85%85%85%85.html
Siku za hivi karibuni, nilianza kuona mabadiliko kutoka kwa mpwa wangu, malaria haziishi na kutapika hakuishi. Jana mama Ngina kanijuza kwamba mpwa ni mjamzito na mtuhumiwa ni Mhyao.
Kwanza huyu mpwa keshafanya mtihani wa kidato cha nne na kapata Division four. Nilikuwa nafikiria kumpeleka kozi ya Secretarial lakini ndio hivyo tena, mjukuu mwingine huyo yu aja.
Kweli ng'ombe wa masikini hazai.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...myao-kwa-mpwa-wangu%85%85%85%85%85%85%85.html
Siku za hivi karibuni, nilianza kuona mabadiliko kutoka kwa mpwa wangu, malaria haziishi na kutapika hakuishi. Jana mama Ngina kanijuza kwamba mpwa ni mjamzito na mtuhumiwa ni Mhyao.
Kwanza huyu mpwa keshafanya mtihani wa kidato cha nne na kapata Division four. Nilikuwa nafikiria kumpeleka kozi ya Secretarial lakini ndio hivyo tena, mjukuu mwingine huyo yu aja.
Kweli ng'ombe wa masikini hazai.