Troojan
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 967
- 666
mwambie huyo tena leo ni siku ya soko hapa tangamano kwaio asilimia kubwa tumekuja kununua bidhaa tunamsubiri Rais wetu
Mkuu hata me nmeliona ilo.watu wamekuja sokoni alfu. wakaskia alikiba mara rubby wakaenda kuwaangalia...na majobless wote wanakula burudan bure