Bange tu
Nasikia Mwakalinga kahamia chadema
Ndiyo mambo yenyewe hayo. Tuyategemee miaka 5 ijayooooo. Kweli watz ni MALOFA NA ni WAPUMBAVUUUU. Kumbuka, Mh. Rais alikuwepo na kufurahiya, Mzee Ruksa alikuwepo na Mzee Lofa alikuwepo na Hata huyo Rais Mtarajiwa aliyaangalia hayo. Shida yangu, ni yule mama wa watu waliye mburuzia hapo na uchaji wake tuu jamani. Pole zako mama yetu, sidhani ka kule Zenj aliwahi kuyashuhudia hayo. Nasema, Malofa na Wapumbavu ni hao walio yaangalia hayo na kukenua mimeno
binafsi sio mshabiki wa siasa ila dar ni jiji
kupata sifa ya jiji sio bure...watu ni wengi na wana mawazo tofauti...
Usijidanganye...
Pale ni jiji kila chama kina watu tena wengi tu...city of many culture...
Wale watu wamekuja kwa ridhaa yao...na pengine wengine wamesaidiwa usafiri sio hela...
Na chama chochote hasa chadema wakifanya mkutano watajaza vilevile pengine na zaidi...
Acha kupotosha jamii na kumsingizia mama aliyekuzaa...unajilaani...
Heheheeee na laputopu zake?
Zimwage hizo picha chifu....
Burudani...tatizo likowapi?
Nlmbona safi tu siburudani ndugu au wafanyie campaign kanisani
Ukiona watu wanatoka chama kingine na Kuja kwenye chama chenu kisha watu hao hao wakataka kuwaongoza basi mjue watu hao wamewadharau sana.... Hii kauli ina ukweli mtupu.
hahahahaha watu walienda kuangalia mauno
Kauli hii inamhusu aliyeitoa kwani hata mkewe si wa ukoo wake na anamshauri na kumwongoza kwa mambo mengi ya msingi. Naye atakuwa amemdharau? Wanajf tunapopingana tuwe tunazipima kauli kwa pande zote ili kuleta usawa. Kauli ya mheshimiwa iliashiria hasira za kukimbiwa na familia aliyoitunza na kuilea na inaashiria kushindwa vibaya ambapo yeye alishatabiri na kukionya chama chake.