MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,582
- 30,035
Joseph sinde warioba ndani ya ufunguzi anaongea sasahivi. Kudadadaki. Kawauzia msala wa katiba na sasa karudi nyumbani
Hawa aminiki
Joseph sinde warioba ndani ya ufunguzi anaongea sasahivi. Kudadadaki. Kawauzia msala wa katiba na sasa karudi nyumbani
Mkuu hao waliokimbia wanaitakasa CCM.Huyu mzee wa Warioba siku akihama CCM ndiyo utasema wamepata pigo lakini siyo Sumaye na Lowassa.
Watakua wameenda kumpigia magoti baada ya kuona wataumbuka. Kutoka moyoni sina uhakika kama yupo nao
Jaman barabara si zinajengwa na kodi ya wananchi... sasa mbona ndo imekua hoja ya sisiem.
Katiba pembeni
pole aiseee!!! Najua roho inauma sana ndio maisha yalivyo.
Warioba anatetea kiinua mgongo chake,kweli "nimeamini mwenye njaa na mwendawazimu ni kitu kimoja"
Walimpiga mpaka na chupa za maji! Magufuli akishinda atasimamia katiba ipi?Hakika leo nimeona Tukio la Ajabu sana Katika Ufunguzi wa Kampeni ya CCM, naona Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiriko ya Katiba Jaji Joseph Warioba ambaye kwa kipindi hiki cha mchakato wa katiba mpaka sasa mzee huyu alionekana ni Adui No 1 wa CCM ila naona ajabu kubwa leo CCM wanamshangilia na anapewa nafasi kuinadi CCM. Aisee hya kwangu naona ni Maajabu makubwa.
Duhh hii thread ina post chache sana nini tatizo???