MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,580
- 30,034
Wasanii hebu tuimbisheni kwanza wimbo wa taifa!!
Wamesha imba
Wasanii hebu tuimbisheni kwanza wimbo wa taifa!!
mbona huendelei kutupa live update kutoka eneo la tukio au sahivi upo busy na kuwakaribisha wazungumzaji wa siku ya leo hapo meza kuu!!! binafsi sijaweza kufika huko kwani niko jimboni kwangu MTAMA bt hii isiwe kesi chamsingi naomba unifikishie shukrani zangu kwa mwenyekiti kwamba, pamoja na changamoto zote hatimaye amefanikiwa kuimarisha ushindi wa UKAWA na kuizika rasmi CCM.
Vaa miwani ya 3DJamani nikiangalia idadi ya umati wa watu unao onekana kupitia ITV ni wachache ukilinganisha na idadi ya umati wa watu ninao uona TBC. Correct me if am wrong
Wimbo wa Taifa unabakwa live
Kamanda Mwigulu huu uzi wa chama CCM acha kabisa umetulia siyo yale magwanda ya mgambo ya Chadema unanikumbusha uzi aliyokuwa anavaa Samora Machel
ccm kumejaa vilaza sana, ningekuwa na uwezo ningekamata mmoja mmoja nasaga kwenye mashine na kugeuza mbolea, nchi yetu ibaki na watu safi, nchi haiwezi endele na watu wajinga.Ka google
Mjinga mwingineNeno Gani Hulijui Hapo? Umoja, Ni Au Ushindi?
Wakati Mbowe anawakutanisha Lowasa na Sumaye. Leo Jakaya anawakutanisha Diamond na Wema Sepetu Jangwani. Duuh noma sanaaa
Yani wasanii walioalikwa ni wengi kuliko wananchi.
Hii kweli haibu.
Wamesha imba