Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,757
- 66,397
Mkuu hebu kua serious hili jambo ni kweli au?breaking newzz!
yule mgombea aliepigwa na mh ndugai afariki dunia mda mfupi uliopita. akizunguzia tukio hilo mganga mfawidhi wa hospital ya mkoa dodoma Dr.kyeche amesema marehem amepata tatizo LA brain concasion baada ya kupigwa na kitu kizito hivyo kusababisha dam kuvilia kwenye ubongo.