Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

Hivi watu wanafikili Lowasa tu ndio anayezijua siri za Serikali ila serikali hawamjui Lowasa? tutakuwa tunakosea sana katika hili .Kwa uelewa wangu wa kawaida tu ni kwamba wote hawa wanaelewana vizuri sana, juu ya kubakwa kwa Democrasia ndani ya CCM mbona hata Zitto naye anadai CDM wamebaka democrasia? hakupewa nafasi ya kuhojiwa juu ya tuhuma zake.

Kama mnamjua na siri zake mbona hamjaziweka wazi tangu zamani. Na amesema mwenye ushahidi aende mahakamani mnasubiri nini. Mkienda magazetini tunajua propaganda fanyeni vitendo achaneni manenomaneno.
 
CCM wala hatuna mashaka, tulipomtema tulijuwa matatizo yake, na hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atamchaguwa.

Simshangai Lowasa, Lowasa ni mfa maji haishi kutapatapa, nnamshangaa Mbowe aliyekula matapishi yake.


Tutamtumia hata shetani kipindi hichi kuiondoa CCM madarakani.
 
Wasalaam wanaBodi.


Tumekuwa tukimsikia Mara kwa Mara katibu mwenezi wa ccm akijaribu kujibizana na Mhe Edward Lowassa katika vyombo vya habari huku Lowassa akimpuuzia kijana huyu mdogo asiyeijua vyema hata historia ya nchi hii lakini kutokana na nafasi yake ya Uenezi anajaribu kuvuka mipaka ya majukumu yake na kujaribu kujibizana na Lowassa kitu ambacho hata bosi wa Nape hawezi kukifanya.


Nichukue nafasi hii kumuasa Nape siyo kila jambo ana mamlaka ya kulizungumzia hivyo wakati mwingine ajaribu kukaa kimya ataonekana wa maana kuliko kuropoka na wale waliomzidi akili na umri pia La sivyo atakuwa Mtu wa kupuuzwa tu na huenda baadaye akaishia pabaya kama atashindwa kuzungumza Ukweli na kuwa na hakika wa kile anachokizungumza badala ya kukubali kutumika kama chambo au sadaka ya kuteketezwa ndani ya ccm kuzima baadhi ya Hoja ambazo zingine hazizimiki kibabe bali kwa mazungumzo ili kufikia muafaka wa kweli na hakika..


Wasalaam...





6fc7a23467c5ce6f575b30555a51a099.jpg
[/IMG]

Umenene kaka
 
Wasalaam wanaBodi.


Tumekuwa tukimsikia Mara kwa Mara katibu mwenezi wa ccm akijaribu kujibizana na Mhe Edward Lowassa katika vyombo vya habari huku Lowassa akimpuuzia kijana huyu mdogo asiyeijua vyema hata historia ya nchi hii lakini kutokana na nafasi yake ya Uenezi anajaribu kuvuka mipaka ya majukumu yake na kujaribu kujibizana na Lowassa kitu ambacho hata bosi wa Nape hawezi kukifanya.


Nichukue nafasi hii kumuasa Nape siyo kila jambo ana mamlaka ya kulizungumzia hivyo wakati mwingine ajaribu kukaa kimya ataonekana wa maana kuliko kuropoka na wale waliomzidi akili na umri pia La sivyo atakuwa Mtu wa kupuuzwa tu na huenda baadaye akaishia pabaya kama atashindwa kuzungumza Ukweli na kuwa na hakika wa kile anachokizungumza badala ya kukubali kutumika kama chambo au sadaka ya kuteketezwa ndani ya ccm kuzima baadhi ya Hoja ambazo zingine hazizimiki kibabe bali kwa mazungumzo ili kufikia muafaka wa kweli na hakika..


Wasalaam...





6fc7a23467c5ce6f575b30555a51a099.jpg
[/IMG]

Kumbe uyu ndio Nape mbona Mzuri iv mtoto bado mbichi kabisa Daaaaàahh kabila gan nifanye mchakato wa kwenda kumtolea mahali jaman uyu
 
Sipendi kuona mtu akiabika na sipendi .
Nashauri watumie busara zaidi. Sio kukurupuka na kujibu shutuma. Wakati mwingine kukaa kimya kunasaidia pia.
na muda pia hutoa majibu.
Kama EL karusha kombora wasijibu hovyo hovyo kwa vile naye atajibu pia kuprove yupo right.Then wataaibika zaidi.
Makosa kama haya yalizaa ukawa na yakampeleka EL ukawa.
Na wasipoangalia yatawaondoa madarakani.Be smart acheni kukurupuka.Nashauri tu

Mkuu, sifikiri kama CCM watakurupuka, CCM ina viongozi makini hapo busara lazima itumike wenyewe wanajua chakufanya.
 
Wakati CCM ikihangaika na mfupa wa Lowassa Ukawa inazidi kujipanga, good strategy.
 
Haaa haaa MUSSA ALLAN habari ya Njiro kwa Msolla.

Jana nilirejea nyumbani muda wa saa 2 usiku hivi nikamkuta wife na watoto wanatazama luninga habari kuu ilikuwa Laigwanan Mkuu Elowassa Ngoyai ikabidi nishangae kidogo sikujua wife yupo vyema kwenye siasa kafuraia kweli kweli salamu zake kuu eti tumepata jembe ikabidi nimuulize kwani wewe upo chama gani majibu yake yalizidi kunishangaza zaidi eti yeye yupo UKAWA nikamuuliza ebu nipatie kadi ya UKAWA akanijibu hana haja ya kadi ya chama yeye ana kadi ya kupiga kura !.

Leo asubuhi nikamuuliza tena kama anataka ndoa au UKAWA !.Majibu yake yalizidi kunikatisha tamaa kabisa nikajua mwaka huu CCM wanayokazi ya ziada.

CCM ijifunze kwa mtini, kama maandiko matakatifu yanavyosema, KWA MTINI JIFUNZENI!
 
Last edited by a moderator:
Naichukia CCM zaidi ya shetani Lusifa na naomba chuki hii iendelee vizazi na vizazi.....Inabidi wazalendo tuanzishe shule ya kuwafundisha watoto wadogo UOVU wa CCM ili wakikua watambue adui wao namba MOJA ni CCM

CCM ni ADUI nambari one wa wapenda MAENDELEO na WAZALENDO wa NCHI HII......Tushikamane kwa pamoja kuling'oa jinamizi CCM
 
"Mfa maji haachi kutapa" SISIEM Wameishiwa sera jaman, MKUU WA KAYA Naye matembezi yamezidi mpaka watu wanaisha kwenye chama jamani aah!!!!!
 
Back
Top Bottom