Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

Kwa hili Chadema mmechemsha kwa kweli .
Huwa napenda kuwatetea lakini sasa nikae
Nakuangalia sinema.

Mlitumia nguvu nyingi mno kumtangaza Lowasa
Fisadi, mkapata na wanachama kibao mlipotoa
Majina ya wala rushwa Lowasa included . Leo hiibadala ya kutangaza mtafanya nini kama
Mkikamata nchi nyie mtakuwa busy kumsafisha
mliemchafua . Kazi mnayo.
 
Unajichekesha tu tuuu mwaka huu mtamlamba miguu nani?tunajua pesa ccm aina misaada mpaka uchanguzi mkuu uishe.

Nnajichekesha? huwa hatufanyi vitu kwa kukisia, kabisa tena.

Lowasa hata afanye nini, Ikulu ataiona paa.
 
Kwa hili Chadema mmechemsha kwa kweli .
Huwa napenda kuwatetea lakini sasa nikae
Nakuangalia sinema.

Mlitumia nguvu nyingi mno kumtangaza Lowasa
Fisadi, mkapata na wanachama kibao mlipotoa
Majina ya wala rushwa Lowasa included . Leo hiibadala ya kutangaza mtafanya nini kama
Mkikamata nchi nyie mtakuwa busy kumsafisha
mliemchafua . Kazi mnayo.


Unajua watu kama sisi tunaoyafuatilia haya mambo ya kisiasa kwa ukaribu tunayaona haya madudu yanayofanyika. Lakini kwa mpigakura wa kawaida, yeye ni bendera anafuata upepo. Atakaepiga debe kwa sauti (labda ngawira pia) kubwa zaidi atasikilizwa.

Mara zote katika mchezo wa siasa ni kuona utapataje kura nyingi kuliko mpinzani wako. UKAWA wanaweza kuwa na nafasi nzuri ya kutwaa dola. Swala ni kuwa "wamekomaa vya kutosha kutuletea mabadiliko?" Assuming wanashinda, - a long shot - basi tutawapima kwa sera zao. Wakivurunda, CCM watarudi - trust me.

Mimi binafsi (pamoja na kuwa sina chama) ningependa UKAWA washinde ili wawape CCM a shock therapy. CCM ni chama kizuri bali wamejisahau na kufikiria kuwa wao ni an imperial political party kwa sababu ni chama cha BABA WA TAIFA. Wanahitaji changamoto ya upinzani. Kama ni wazuri basi watarudi baada ya kushindwa, la sivyo kwao itakuwa ni bye-bye.

Cha muhimu kwa nchi yetu ni kuwa "je Tanzania tutaendelea?" Miaka zaidi ya 50 sasa na bado tunajikongoja. Jamani, can't we do better?

Yaache mawimbi yachukuwe mkondo wake. Ni matumaini yangu kuwa usalama na utulivu utatawala.
 
HAPA NDIPO WATANZANIA TUNAPOPATAKA HASWAAA!

N.B,

UTU UZIMA DAWA SIIAHAURI CCM IKURUPUKE MAPEMA NAMNA HII.
KWANI SIO HEKIMA.

utoto rahaaaa! kweli kweli.
 
Kesho saa 7 mchana CCM watazungumza na waandishi wa habari Lumumba. Ajenda kuu ni Lowassa kujiunga CHADEMA.

Chanzo: Taarifa ya CCM kwa wahariri.

Wange itisha usiku ule ule. Chama cha kijanja janja. Mara hii kitaeleweka. Kikwete alisahau kwamba Tanzania siyo ya familia na marafiki bali ni ya wote. Sasa tunakwenda kujenga Tanzania ya wote.
 
Kumbe na wao wana watambua mchango wa wandishi wa habar sasa mbona mle mjengoni walitaka kupitisha kwa dharurs kwamba taarifa tuwe tu naipata kwa tbc tu over saa mbili ucku bila kukumbuka kwmba mganga hajigangi haya tutawaskiliza but msisahau kuwasha umeme coz mfa maji sku zote haachi kutapatapa
 
Kwa hili Chadema mmechemsha kwa kweli .
Huwa napenda kuwatetea lakini sasa nikae
Nakuangalia sinema.

Mlitumia nguvu nyingi mno kumtangaza Lowasa
Fisadi, mkapata na wanachama kibao mlipotoa
Majina ya wala rushwa Lowasa included . Leo hiibadala ya kutangaza mtafanya nini kama
Mkikamata nchi nyie mtakuwa busy kumsafisha
mliemchafua . Kazi mnayo.

Tuliza ball. Tunaendelea kukuombea chuki ikutoke ndani yako. Mpende jirani/ adui yako.
 
lowassa katoa tamko 28 July,wao wanajibu mashambulizi tarehe 28july
wamepata muda WA ku digest vema?

au Yale Yale ya KUKURUPUKA TU!?
 
Back
Top Bottom