barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kuna wabunge hawajielewi bibi Kisangi anatia kinyaa.hata kutaja Escrow hawezi.jirani yake nae kituko
Na kajitambulisha kama mmoja wa wajumbe wa body ya nishati. Afadhari kutokuchangia, ni kujidhalilisha kwa yeye na familia yake!