Anko Sam JF-Expert Member Jun 30, 2010 3,200 820 Aug 25, 2012 #4 Angefunga chini ningemuona wa maana, hapo atakulaje si atakufa njaa?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 26, 2012 #5 uzuri kwenye utendaji makarani watatumia mikono pia..............
U ukweli2 Member Nov 18, 2011 66 52 Aug 26, 2012 #7 Wahesabu watu wameuliza sare zpowapi? Jamaa mmoja akajibu zmechelewa akaulizwa mbona za kupiga kura hazichelewi?kakosa jibu
Wahesabu watu wameuliza sare zpowapi? Jamaa mmoja akajibu zmechelewa akaulizwa mbona za kupiga kura hazichelewi?kakosa jibu
KOKUTONA JF-Expert Member Jan 29, 2011 8,649 6,088 Aug 26, 2012 #8 Kujipa tabu bure. Baada ya hapo mdomo utakuwa si mdomo tena.
R Ritakahama JF-Expert Member Jul 5, 2012 758 408 Aug 26, 2012 #9 jamani swnsa imepita au ni leo ninapoishi hawajapita
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Aug 26, 2012 #10 mavisu said: kil lnye mwnz lna mwsh jman Click to expand... Mbona hujaeleweka mkuu?