Yah: Uyoga, Vipepeo na Midoli Bunge la Watanzania

Mkuu labda nikuulize, ni nchi gani duniani ambayo kikao cha Bunge kinaonyeshwa Live kwenye televisheni kwa zaidi ya nusu saa, achilia mbali masaa sita na wananchi wamekaa wanatazama?
Swali zuri. Mijitu inashabikia tu bila mantiki. Anayedhani hili linawezekana basi afungue kituo chake spesheli kwa ajili ya kuonyesha shughuli za serikali kama walivyofanya jamaa wa C-span kule Marekani.
 
huyu mzee na mzee mwenzie padri slaa tokea walambishwe hela za magamba na limbwata la kihaya wamekuwa kama mahayawani!we mzee usiyepiga hata kura hapa tanzania funga bakuli lako unatupigia kelele!hivi slaa bado analala sebleni kwako huko marekani?!!
Duh! limbwata la Kihaya!
 
Ohh wabunge wawepo live
lakini watanzania waoneshwe edited na recorded version sio?
kweli hapa kazi tu
Nimemdharau sana alieanzisha bandiko hili...
MTU mweusi sio wakumuamini hasa linapokuja swala la Tumbo hivi kweli leo hii Mtu unashabikia Habari za Serikali zilizoEditiwa khaaa......
 

Na kwa nini JF ifungiwe? Kwani TBC imefungiwa? Nijuavyo mimi Serikali imesema Bunge litarekodiwa na kuonyeshwa jioni na kurudiwa wkend sasa sijui tatitzo liko wapi hapo?

Na hii siyo TZ peke yake nchi nyingi Duniani hata zile tunazoziiga kwa mambo ya kiutawala ambazo kila siku hulaumu Serikali yetu kwa nini haifanyi kama wao hufanya hivi kwamba Bunge huonyeshwa jioni!
Hivi wenzetu nilini mtaacha hizi Tabia za MTU mwingine kufikiri kwa niaba yenu.....
 
Mzee mwanakijiji nakuheshimu sana...

Ila naomba nitofautiane na wewe...

Haki ya kupata habari... hili swala umelielezea juu juu nasikitika kabisa kusema umeelezea kama madereva bodaboda wa mtaani kwetu watakavyoeleza...

Unaposema haki ya kupata habari sio kwamba tu upate habari ilimradi, Ndo maana kukawa na chombo cha habari kama TBC ambapo lengo lake ni kuhakikisha watu wanapata habari na sio kufanya biashara .. ..

Kupata habari live.... kuna mantiki ipi ya kuja kutoonyesha bunge live?.. je ni kitu gani hawataki watu wakione ?... halafu unaleta marudio saa Tano sasa kama hasara ni kuonyesha bunge (kwanini watalionyesha usiku....hasara ipo palepale)..

MIMI naiamini Serikali ya Magufuli... nasikitika sana kwa hili jambo la kuwanyima watu habari Live... maana ukisema habari za Bunge ziwe recorded/ edited lazima tukubaliane kutakuwa kunapotosha msingi mzima wa haki ya habari maana wananchi watashindwa kupima utendaji wa wabunge kwa wakati na kufahamu mambo ambayo yatakuwa pengine yanatolewa baada ya bunge kuwa recorded..

Nakuheshimu sana Mzee
 
Kama inawezekana kuona jinsi tunavyowakilishwa Bungeni na wawakilishi wetu ni bora zaidi na inapanua wigo wa demokrasia na kusaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi juu ya wawakilishi wao. Hili suala linahitaji busara na hekima na si ubabe na ukandamizwaji kupitia sheria zilizotungwa wakati teknolojia ya live ilikuwa nadharia. Haya unayoyasema kwangu ni mawazo mgando
 
Hawawezi kwa sababu hakuna ambaye anaweza kutetea haki isiyokuwepo.
Ni kweli hakuna haki ya kuona bunge live.
Haki tunayoisema hapa ni ya ki katiba ya kupata taarifa na taarifa hizo kuwa kweli na sahihi.kwa vile baadhi ya wabunge na wananchi wanaowawakilisha kutoiamini serikali (tbc) ndio maana haki ile ya kikatiba ya kupata taarifa inakuwa imeporwa. Hii ndio hoja ya msingi.
Serikali inayo sababu zake za siri ambayo haitaki watu kuwa na taarifa ya moja kwa moja juu ya matukio uanayoendelea bungeni.
Na kufanya hivyo inamnyima mtanzania kujua nani mwakilishi wa mwananchi nani mla posho ya bure.kuoneshwa bunge kumesaidia sana wananchi kufanya maamuzi ktk uchaguzi mkuu.
Hivyo Nape na serikali yake wasitunyime haki hii ya msingi yenye athari kubwa kisiasa na kiuongozi
 
kaolewe na mwanakijiji wewe
Mkuu sasa kama sphere yako ya mawazo ni hiyo, you are in the wrong place.
Uwanda wako wewe ni kuolewa, nenda kweye jukwaa hilo linalokuhusu.
Huku ni Greti Thinkas tu, mtu uliyetoka uchochoro wa kubinuana hapa si mahali pako.
Go where you belong.

The sad fact is, wengine mnaowachagua kuwawawakilisha bungeni hawajui wanaenda kufanya nini huko, na wana mawazo kama yako.
Kule hakuna kubinuliwa kama nyie mnafvyo fanya na kutaka iwe hivyo.
Vinatakiwa vichwa, nothing short.
 
JPM aliwaomba sana wabunge wamsaidie na wachape kazi nae yeye yupo tayari 24/7.

Hii tabia ya UTORO Bungeni inataka kuota mizizi na ni lazima idhibitiwe.
Bora kutowakilishwa kuliko kuwakilishwa kwa kiini macho.
 
Huwo ulive wa Wabunge umeanza lini? Yaani tangu lini wabunge wanaonyeshwa live mpaka leo hii iwe dhambi kubwa wao kutokuonyeshwa live?
Nafikiri unafaa kuishi kwenye karne ya nabii Mussa kwa mawazo yako. Lililo bora na lenye manufaa kwa wengi lifanyike
 
Ujue hapa tunajitahidi kuitafsri neno live kisheria, MMM naona hujui haki ya kupata habari inaanzia wapi na kuishia wapi, hivi unajua radha ya kuona mechi ya mpira live na recorded? Usijitoe ufahamu kwa jambo la msingi ila umejaribu kwa nafasi yako nawe kutaka kupotosha umma ila kwa wana jf umebugi ila fb wanaweza amini kuwa hakuna tofauti ya kupata habari live na sio live
 
Mkuu sasa kama sphere yako ya mawazo ni hiyo, you are in the wrong place.
Uwanda wako wewe ni kuolewa, nenda kweye jukwaa hilo linalokuhusu.
Huku ni Greti Thinkas tu, mtu uliyetoka uchochoro wa kubinuana hapa si mahali pako.
Go where you belong.

The sad fact is, wengine mnaowachagua kuwawawakilisha bungeni hawajui wanaenda kufanya nini huko, na wana mawazo kama yako.
Kule hakuna kubinuliwa kama nyie mnafvyo fanya na kutaka iwe hivyo.
Vinatakiwa vichwa, nothing short.

sihitaji mashoga kama wewe, kabanjuliwe na mandingo
 
Back
Top Bottom