Yadhihirika: CCM ndicho Chama kinachopendwa zaidi na wasomi

kinachosemwa ni kuwa CCM inawapa fursa vijana wasomi..,kwani CCM ilishindwa kuwateua wazee wasiokwenda shule wenye uzoefu na wakaweza kuongoza kwa ufanisi tu hizo wilaya na mikoa..? ila tafiti zimejaribu kuonyesha kuwa CCM inawajali , kuwaamini na kuwatumia vijana katika shughuli mbalimbali za Chama na Serikali kwa Ujumla.
.....Kama wasomi wenyewe ndio design yako wewe unaeandika pumba kiasi hicho, basi nakuunga mkono kuwa ccm inapendwa na wasomi. Katika research yoyote ile lazima uangalie hiyo sample size kama ni true representative ya whole population na kama design ya research ipo sahihi. Unataka kusema hao vijana uliowataja ni % ngapi ya population ya vijana wasomi wote waliopo Tz?
 
Inategemea na aina ya vijana wasomi ambao wanaipenda na kuiunga mkono CCM.Kwanza vijana hao lazima wawe wanafaidika moja kwa moja na uongozi/watawala uliopo madarakani kwa namna moja au nyingine..Pili wako au wametoka ndani ya familia ya wazazi walio wanaCCM na viongozi au watawala wenyewe,au wanaurafiki na watoto au vijana wa viongozi waliopo madarakani.Vinginevyo vijana wasomi wanaoipenda CCM ni wachache sana.
 
Katika tafiti mbali mbali zinazoendelea kufanywa na mashirika mbalimbali hapa nchini ambapo Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kuwaacha mbali vyama vya upinzani katika matokeo ya tafiti hizo. Mwanzoni mwa mwaka huu shirika moja na Utafiti maarufu kama Synovate kimetoa takwimu zinazoonyesha kuwa CCM ni chama maarufu zaidi hapa nchini https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...wBTiH04ISgeL0QFMYQdWaZg&bvm=bv.55123115,d.Yms pamoja na ile ya APRM ambayo imeonyesha kuwa CCM ni chama imara kinachosimamia serikali yake na kwamba inafuata na kusimamia vyema utawala bora. Pia ripoti hiyo imeanisha kuwa vyama vya Upinzani bado ni dhaifu kuisumbua CCM https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...5IG4Dw&usg=AFQjCNEx15e-b0ok3RceYoS-hLVxyEIYhg Ripoti hizo pia zinaonyesha kuwa wasomi wengi wanaiamini na kuiunga mkono CCM.

Ukiachilia mbali ripoti hizo zinazotokana na tafiti mbalimbali za mashirika hayo bado chama cha mapinduzi kwa ushahidi wa mazingira ndicho kinachowapa nafasi na fursa nyingi zaidi wasomi mbalimbali hapa nchini, kwa mfano:

Ajira ndani ya Chama Cha Mapinduzi:
Taarifa zenye ufununu zimeonesha kuwa mwaka 2012 Chama Cha Mapinduzi kimefanya uajiri wa watumishi 68 ambao ni makatibu wasaidizi katika wilaya mbalimbali na wahasibu ambapo 45 ni wenye shahada za vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. (wasomi)
Pia mwaka 2011, takwimu za uajiri ndani ya Chama zinaonyesha kuwa katika makatibu na makatibu wasaidizi 60 walioajiriwa takribani 53 ni graduate wa vyuo vikuu.

Uteuzi wa nafasi za ukuu wa wilaya:
teuzi mbalimbali ambazo hufanywa na Mwenyekiti wa CCM kwa ushauri wa Kamati Kuu umeendelea kuonyesha kuwa Vijana wasomi wanapewa kipaumbele ndani ya Chama hiko. Mathalani uteuzi wa Ma_DC wapya walioteuliwa hivi karibuni umewapa nafasi vijana zaidi ya Arobaini kwenye nafasi hizo (40) atachment inathibitisha hili.

Ukiachilia mbali hilo Chaguzi zilizopita hivi karibuni ndani ya Chama na Jumuiya zake.
Ukiacha jumuiya ya Vijana ambayo katika wenyeviti wake wote wa Vijana Mkoa ni graduate na baadhi ya wenyeviti wa wilaya pia, lakini hali hiyo pia utaikuta jumuiya ya wazazi na hata jumuiya ya wanawake (UWT)

Wenyeviti wa Chama wa wilaya na Mikoa wengi ni wasomi tena wasomi vijana ambao wamekuja na kukaribishwa ndani ya Chama na kupewa nafasi hizo muhimu na kubwa ndani ya Chama.

lakini uteuzi wa akina Nape, Mwigulu, January akina Jerry Slaa ndani ya Kamati Kuu ya CCM ni uwakilishi tosha wa Vijana na wasomi ndani ya Chama hicho.

NB:
ili kujiridhisha ndugu msomaji tembelea vyuo vya kati na hata vikuu anza kuwauliza maprofesa na wakufunzi vyuoni humo na utapata jawabu kuwa wasomi ni ngao ya CCM na CCM ndio chaguo la wasomi.

AMA kweli naona unaota mchana maana kwenye CCM kila akiwa Amesomea sana ndio anakuwa mjinga zaidi
 
Ni jana tu Mzee wa Tembo amenukuliwa ndani ya semina yao akidai wasomi hawafai ndani ya CCM. Sasa iweje wasomi waipende kama ni threats ndani ya Magamba Ltd?.... Who cares anyway kama wasomi wenyewe ni wasaliti kama Prof. Muhongo?
 
QUOTE
NB:
ili kujiridhisha ndugu msomaji tembelea vyuo vya kati na hata vikuu anza kuwauliza maprofesa na wakufunzi vyuoni humo na utapata jawabu kuwa wasomi ni ngao ya CCM na CCM ndio chaguo la wasomi. [/QUOTE]


Mengine yote katika thread hii, unayo haki ya kuyaamini na kuyatetea. kwanza nina tatizo na NB: nijuavyo mimi, na infact ndivyo ilivyo, chuo chochote makini, kiwe cha kati, vya kawaida au taasisi ya elimu ya juu na university, hawafanyi ushabiki wa kisiasa bali uchambuzi wa mifumo ya siasa, ideologies na sayansi ya siasa, hufanya training, research and consultancy. vyuo vikuu viki-seaze kutimiza wajibu huu na kuanza kushabikia siasa, basi future ya taifa haipo na vitageuka grolified high schools! God forbid..,, na siyo tena chemichemi ya fikra pevu, uzalendo na usomi uliojaa kiburi cha unyenyekevu katika kuisaidia nchi hii changa kimaendeleo

Ishu ya pili, tuambie kwa nini wasomi hao (depending on the sample drawn) wanaipenda ccm? kundi gani haliipendi na kwa nini? mfanye nini katika maisha yao ya kila siku ili kurudisha imani yao? utafiti unasema nini kuhusu vyama vya ushindani? vyovyote iwavyo, credibility ya research yoyote hutegemea research methods employed, sina hakika na hilo! Hivi karibuni, tumeshuhudia REDET, taasisi iliyoheshimika Africa ikifanya 'sihasa' katika tafiti, kawaulize leo wafadhili wake wako wapi? inafanya nini sasa? mbona hawatoi taarifa za tafiti? Dr. Benson Bana atakujibu kwa umakini. likewise SYNOVETE waulize maswali hayo hayo, ukiongeza, je, credibility and/or reputation ya SYNOVETE ya Tanzania ni sawa na inayo operate Kenya na kwingineko?

tatu, penye sifa ntakupa, unafaa kufanya propaganda za kisiasa, vyama vyenje kupenda propaganda lazima wakutizame kama resource (siyo utani), unanikumbusha waziri wa habari wa Iraq ya enzi za Sadam Hussein na vita ya Bush, yule jamaa alikuwa kiboko katika eneo hilo mpaka Bush mwenyewe alikiri kuwa jamaa aliifahamu vyema kazi yake, iitwayo, 'the sociology of mass com' and its significant impact to people's ability to think, reasoning and perception of the world..
 
utakula mijeledi ya mgongo maisha yako yote..ccm itazidi kuimarika na kupendwa na watz wote wasomi, wasio wasomi, wakulima, wafanyakazi, wafugaji, vijana, wazee na akina mama. Kidumu ccm
labda watanzania wa lumumba na ukoo wao wa panya, ccm itapendwa na wapiga dili na wachumia tumbo zaidi.
 
Ukimuona msomi anaipenda ccm kwa dhati kabisa, ujue ni anashibia huko,au elimu yake haikumsaidia kabisa! Ccm imeteua wakuu wa wilaya kwa kuangalia fadhila na ukada na sio uwezo wa mtu! Ccm ni majanga.
 
Katika tafiti mbali mbali zinazoendelea kufanywa na mashirika mbalimbali hapa nchini ambapo Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kuwaacha mbali vyama vya upinzani katika matokeo ya tafiti hizo. Mwanzoni mwa mwaka huu shirika moja na Utafiti maarufu kama Synovate kimetoa takwimu zinazoonyesha kuwa CCM ni chama maarufu zaidi hapa nchini https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...wBTiH04ISgeL0QFMYQdWaZg&bvm=bv.55123115,d.Yms pamoja na ile ya APRM ambayo imeonyesha kuwa CCM ni chama imara kinachosimamia serikali yake na kwamba inafuata na kusimamia vyema utawala bora. Pia ripoti hiyo imeanisha kuwa vyama vya Upinzani bado ni dhaifu kuisumbua CCM https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...5IG4Dw&usg=AFQjCNEx15e-b0ok3RceYoS-hLVxyEIYhg Ripoti hizo pia zinaonyesha kuwa wasomi wengi wanaiamini na kuiunga mkono CCM.

Ukiachilia mbali ripoti hizo zinazotokana na tafiti mbalimbali za mashirika hayo bado chama cha mapinduzi kwa ushahidi wa mazingira ndicho kinachowapa nafasi na fursa nyingi zaidi wasomi mbalimbali hapa nchini, kwa mfano:

Ajira ndani ya Chama Cha Mapinduzi:
Taarifa zenye ufununu zimeonesha kuwa mwaka 2012 Chama Cha Mapinduzi kimefanya uajiri wa watumishi 68 ambao ni makatibu wasaidizi katika wilaya mbalimbali na wahasibu ambapo 45 ni wenye shahada za vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. (wasomi)
Pia mwaka 2011, takwimu za uajiri ndani ya Chama zinaonyesha kuwa katika makatibu na makatibu wasaidizi 60 walioajiriwa takribani 53 ni graduate wa vyuo vikuu.

Uteuzi wa nafasi za ukuu wa wilaya:
teuzi mbalimbali ambazo hufanywa na Mwenyekiti wa CCM kwa ushauri wa Kamati Kuu umeendelea kuonyesha kuwa Vijana wasomi wanapewa kipaumbele ndani ya Chama hiko. Mathalani uteuzi wa Ma_DC wapya walioteuliwa hivi karibuni umewapa nafasi vijana zaidi ya Arobaini kwenye nafasi hizo (40) atachment inathibitisha hili.

Ukiachilia mbali hilo Chaguzi zilizopita hivi karibuni ndani ya Chama na Jumuiya zake.
Ukiacha jumuiya ya Vijana ambayo katika wenyeviti wake wote wa Vijana Mkoa ni graduate na baadhi ya wenyeviti wa wilaya pia, lakini hali hiyo pia utaikuta jumuiya ya wazazi na hata jumuiya ya wanawake (UWT)

Wenyeviti wa Chama wa wilaya na Mikoa wengi ni wasomi tena wasomi vijana ambao wamekuja na kukaribishwa ndani ya Chama na kupewa nafasi hizo muhimu na kubwa ndani ya Chama.

lakini uteuzi wa akina Nape, Mwigulu, January akina Jerry Slaa ndani ya Kamati Kuu ya CCM ni uwakilishi tosha wa Vijana na wasomi ndani ya Chama hicho.

NB:
ili kujiridhisha ndugu msomaji tembelea vyuo vya kati na hata vikuu anza kuwauliza maprofesa na wakufunzi vyuoni humo na utapata jawabu kuwa wasomi ni ngao ya CCM na CCM ndio chaguo la wasomi.

Pamoja na uhuru wa mtu binafsi kuwa mwanachama wa chama flani cha siasa lakini ukweli utabakia kuwa ni aibu ya hali ya juu kwa msomi kuwa mwanachama wa chadema. Hiki ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai na kihuni. Ni aibu kwa msomi anayejitapa nipo chadema kwasababu ccm ni chama cha mafisadi, rushwa, wauza unga na allegation nyingine at the sametime anauona ufisadi, kupeana madaraka kishkaji, kindugu,kikabila,kikanda, chuki na fitna, rushwa katika chaguzi ndani chama chake zinafanyika. Kilichokuhamisha ccm mbona kule chadema ulikoenda ndio kwao? Pesa za ruzuku zinatumiwa kwa maslahi ya viongozi wachache still msomi wewe unaona poa tu. Hapa ndio natilia shaka wasomi nyie mlioko huko kwamba may be hata hamjatoka ccm kwasababu mlizozitaja bali maslahi yenu yamezimwa huko ccm ndio mkaona mkauendeleze ufisadi na ulaghai wenu chadema. Very sad!.
 
Labda ungeniambia wasomi wenye harufu ya ufisadi. Hua nakaa na wasomi na kujifanya kada wa CCM. Huwa ninshambuliwa from left, right and centre. Usidanyike. Tena kama unabisha kaangalie matokeo ya kura katika vyuo vikuu nchini. Uongo unaudhi sana.
 
Yani wewe mleta thread ni janga zaidi ya UKIMWI na Malaria. Unatuletea takwimu za KK Security humu! Kajipange maana inaonekana baada ya CDM kuonekana kinapendwa na wasomi banyi mnaiga...shame on u girls...No I mean guys!
 
Back
Top Bottom