comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Nilipata kusoma @The Boss mahali fulani akifananisha uharaka wa kusahau walionao samaki na uharaka wa watanzania kusahau mambo.
Yawezekana ni kweli watanzania wengi ni wepesi kusahau, ila mie kumbukumbu yangu bado inanituma kuamini kwamba akili iliyotusababishia shida zetu nyingi haiwezi kuwa na majibu ya makini ya shida hizo. ..
JPM ni mvinyo mpya ndani ya kiriba cha zamani...ccm ni ile ile