MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Mada nzuri sana, naaamini Watanzania tunapaswa kwanza kukubali mabadiliko katika mind transition, baada ya hapo tutaenda na kasi zilizopo, tufanye kazi na pia wakubwa wafanye maamuzi mazuri katika kodi zetu na zile dhana za elimu bure au kilebure ziondoke, na watanzania waelezwe kuwa katika kodi zetu watanzania tumefanya a, b, c ... ni vyema pia that we keep on sailing in the same 2025 Tanzania Development vision. Kuiga mifumo ni sawa bora iakisi matakwa yetu kwa wakati na iwe ni sustinable... Binafsi nampongeza kwa hatua hizi ila bado jitihada zaidi katika Capital investment inahitajika... Kiungwana walau 2018 ndio tuanze kuassess progress, as for now the foundation is ok.... stick and carrot motivation is highly needed for behaviral shaping to all unaccountable bearers....