Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
ngoja niwachekesheni kidogo kipindi nikiwa kenya narusha ndege
tulilala sehemu huko mashenzini...tukiwa nyt sto[ tulikuwa na mazoe ya kwenda sehemu
kupata nyama na pombee..baadae wanaondoka na looseball yaani bar bed
ikawa ndo kamchezo sasa siku moja uo mzigo ukajiwa na watu kama 4 na wote wanataka
kuruka nao,..ikabidi synorite ifwate mkondo wake ikaja kati ya 4 marubani 2 yaani mkuu na msaidizi wake...duh ikabidi first offiser awe mpole Capt achukue ngoma akaikokota usiku wee mzee alikuwa chakali chakali...ilipofika asbh mzee akachelewa kuamka huku muda wa dep unakaribia akamshtua mazee wake fasta twende,..mwanamke akaamka akiwa anaenda kuoga akamwona nyuma amekula mabaka mabaka kama mamba kuangalia uswazi mzee akawa hoi
alipofika reception akaishia kusema"""KAMA AMENIUA MI NAMWACHIA MUNGU""
"""KAMA AMENIUA BASI""hiyo ni asubuhi....nenda uganda ukaulize yule dk kaenda na wangapi watu wamama wenye akili zao wake za watu kazi azifanyiki huko uganda we!!ukipona shukuru ukipata mwachie MUNGU
Ndugu Ogopa TBL na mahasimu wake ......usiku mwema
....
hii 'lafudhi' yako bado naifanyia kazi originality yake.
...anyway, I bet wewe ndiwe ulikuwa 1st officer ulonyang'anywa tonge mdomoni, ha ha ha....
bahati yako.