Ameimis nanii
1)murudiane
2) kukudhuru
3) akurudishie vi2 vyako ulivyompa km zawadi
4)akushukuru kwa kuachana nae na pia akutambulishe kwa m2 wake mpya
5)anashida anaomba msaada
kuwa huru useme unapopokea cmu ya ex wako unawaza kipi hapo
kukumbushia
kukumbushia
Na kwa nini muendeleze mahusiano na ex wake especially kama kila mtu ana maisha yake na mtu mwingine? Hapo ndiyo mnataka kukaribisha matatizo kwa current relationship. Ukiachana na mtu hasa kama mlikuwa wapenzi ni bora iwe ni mwiko kutafutana!!!!! Ajaribu uone matokeo.
uchukue zawadi ulizomnunulia kwani umemwambia una shida nazo.........mimi nilimpa yeye kama anaona hazitaki basi akachome moto au akazitupe mana hata mimi sina shida nazo.km kaja kukupa zwd zako ulizomnunulia kitambo hicho utazichukua